Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwema mkuu haina shinda mkuu kila jambo lina wezekana ila nyie vijana wa CCM mnazingua sanaMkuu unafuatiliwa UAE kuwa marafiki na Israel.
Alitoka kapa kwa tume ipi ya uchaguzi.Mapokezi ya Lissu hayaja fikia hata robo ya mapokezi ya Lowasa lakini bado Lowasa alitoka kapa.mpaka sasa Lissu hajafikia kiwango cha kudekiwa barabara,bado tena bado saana.
Kipindi cha nyuma magu akiongelea mambo ya kugongana.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1732][emoji1732][emoji1732] We jamaa wewe ni ful comedian aisee nimecheka balaa
Niombee msamahaAngalia usije ukageuka taga, maana hao watu wakati mwingine wanalua maruhani
Lowassa ilikua tsunami, sema lisu kajitahidi kujaza tusubiri na Magufuli kama atajazaMzee Lowassa ni zaidi ya huyu kwa asilimia nyingi tu.
ACT wamerudia mchezo ule uleTunalaani yoyote yule aliyemleta yule mzee tapeli wa kisiasa, bila kujali yeye ni nani.
Kuna tulia MarathonNasikia Simba wanajiandaa na ziara ya Mbeya
Magufuli au diamond au kama wasanii wata jazaLowassa ilikua tsunami, sema lisu kajitahidi kujaza tusubiri na Magufuli kama atajaza
Bila diamond, alikiba na harmonize kuwepo ajaziLowassa ilikua tsunami, sema lisu kajitahidi kujaza tusubiri na Magufuli kama atajaza
Magufuli anaogopa hata kumtaja lisu kwa jina, amebakia kuongea kwa mafumbo tuToka Lissu amewasili hatujawahi kufokea tena, Hakika huyu ndiyo kiboko yake
Maisha yako, wasanii wajitolee kumnadi jiwe, labda kama wametishiwa kutekwa.
Somo unakosea.Kuwe na fair play basi, sasa mnapitisha wabunge bila kilupingwa kisha mnajimwambafay.
Bila shaka atakuwa ameambatana na wasanii wa kimataifa kama Justine Bieber, Rihanna, Beyonce, Lil Wayne, J zee, Chris Brown, Arnold, Rambo, Jet Lee, Jack chain, na wengine kibao bila kusahau Mr bean.
Bila kumsahau yule bwana mpiga piano.Bila shaka atakuwa ameambatana na wasanii wa kimataifa kama Justine Bieber, Rihanna, Beyonce, Lil Wayne, J zee, Chris Brown, Arnold, Rambo, Jet Lee, Jack chain, na wengine kibao bila kusahau Mr bean.
Kwani unateseka?Acha kukariri bwashee!
Bandari ya Dar iliitwa Princess Margret RIP, mdogo wake Malkia wa sasa, baada ya maboresho makubwa na Waingereza. KiwanjaMkuu hivi barabara gani ambayo alijenga mkoloni ambayo mpaka leo bado ipo?
Ujenzi wa miundombinu mbalimbali unategema expansion ya population ambayo inaendana na kukua kwa miji so lazima utajenga tu miundombinu mipya.
Chukua mfano wa bandari lazima ubora wake uwe upgraded maana inahitaji kukidhi mahitaji ya kipind hiki though ilijengwa na mkoloni lakin ilivyoleo unaweza linganiasha na ya mkoloni 5yrs before, vivyo hivyo dar airport...
Hawa jamaa uwezo wa akili zao kufikiri ni mdogo sana
Somo unakosea.
Kama wagombea wenu hawawezi hata kujaza forms kwa usahihi unataka wabebwe?