Sio huku tu kwenye mikutano tu ni hali mbaya kama ni lazima watu walipwe na kubebwa kutoka sehemu mbali mbali ndio mkutano ujae??KABISA NILIKUWA NA KUKUMBUSHA TU KUWA KULE KWENYE UZI WA ROHO MBAYA MWENZIO UMEDODA UTIE HATA NENO KUWA FARIJI WAUAWAJI
Hahhahaa mwaka huu mtaumia sana. Mlidhani wapinzani watagawanyika, sasa hao wanaungana tena hadharani.
View attachment 1604845
Ujio wa ponda hasa tukielekea kampeni za kanda ya kusini na Dar ndio kifo chenu.
DuuuuuuuuhKachezewa rafu ya kumpa ugonjwa wa koma kabisa
true! wangemuandama sanaNimependa sana ile kauli ya Campaign Manager wa Lissu ya kwamba “Safari hii watatambaa kwa magoti hadi yageukie nyuma “
Moto ndio kwanza umeanza...
Hivi Lissu aliwezaje kuishi maisha safi bila doa lolote kufikia hivi leo amekuwa tumaini pekee la wazalendo nchi hii? Alijua tokea utotoni akaishi kwa misingi ya uongozi?
Nimetafakari sana, watesi wake wangemmaliza kisiasa endapo angekuwa na hata chembe ya doa.
acha ujinga wewe...muandalie mwanao huyo kwenye picha mazingira mazuri huko mbeleni ..mnadhani haya tunafanya kwa ajili ya nani..kama si watoto wetu hawa ukombozi wa watanzania na vizazi vyetu vijavyo umewadiaTimizeni ratiba na utalii, wengine tunaamini Rais ni Magufuli! Karibu kwa povu!
pole dogo!Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na Robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
mkuu..kwa arusha mkutano utakua leganga peke yake ? na hapo patatosha kweli naona kama mji utatikisikaLive update: Tunamngoja Mgombea wa Chadema - Urais, katika viwanja vya leganga Shuleni.....
Ukitokea Arusha Shuka leganga, hapo hapo upande wa juu ndo kuna mkutano!
Kama una tokea Arusha mda Huu au Baadae kidogo utawahi maana ndo wanafunga vipaza sauti
popo bawa kaa kimya.Huwa ninawashangaa sana tu Watu fulani fulani wanaojidanganya na kudhani kabisa kuwa Tundu Lissu atakuwa Rais wa Tanzania 2020 hii. Poleni!
Ni furaha iliyoje Mto wa Mbu.
Kabisa maana hata za kupakazia wanaonekana wapumbavuNimependa sana ile kauli ya Campaign Manager wa Lissu ya kwamba “Safari hii watatambaa kwa magoti hadi yageukie nyuma “
Moto ndio kwanza umeanza...
Hivi Lissu aliwezaje kuishi maisha safi bila doa lolote kufikia hivi leo amekuwa tumaini pekee la wazalendo nchi hii? Alijua tokea utotoni akaishi kwa misingi ya uongozi?
Nimetafakari sana, watesi wake wangemmaliza kisiasa endapo angekuwa na hata chembe ya doa.
hivii huui kuwa mgombea wenu MEKO nidhaifu mpaka anaomba POO apumue hali ni tete kwake. nambie leo yuko wapi ? si huwa anapenda LIVE ata akinunua mihogo munamuonyesha ..sanionyeshe yuko wapi leo LIVE?Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
SaaafiiiiiAmewaita wanahabari na kuwaambia kuwa yeye ni mgombea urais
Duuh hali ni tete, hizi lampeni za kimataifa, namuona hadi rais wa ZanzibarTutege masikio maana mtikisiko wa leo utafika hadi mitaa ya Lumumba, mitaa ya Kinondoni, mitaa ya Shabaan Robert.
View attachment 1604601
Tukipiga kura tutazilinda ili kuzuia masunduku yenu ya kura fake kuingizwa kwenye vituo, safari hii mtabaki nayo huko huko Lumumba.Huwa ninawashangaa sana tu Watu fulani fulani wanaojidanganya na kudhani kabisa kuwa Tundu Lissu atakuwa Rais wa Tanzania 2020 hii. Poleni!
Yupi wako wawili, bigi au yule mwembamba?Huyu jamaa anayehutubiaga kabla Tundu lissu hajafika huwa anamadini sana, ningependekeza awe msemaji wa chama.
Nilianza kumsikia Geita, nikamsikia Mwanza, then Musoma. Huyu jamaa anaongea point balaa