Yaliyojiri kesi ya Mbowe leo Novemba 05, 2021: Inspector Mahita Mohamed atoa ushahidi

Yaliyojiri kesi ya Mbowe leo Novemba 05, 2021: Inspector Mahita Mohamed atoa ushahidi

Sana sana. Shahidi anajichanganya ile mbaya.
Halafu anaonekana vitu vingi katika taaluma yake havijui, protocols za kazi hazijui

Amefeli mtihani wa logic, kua kama umeshindwa kujua office mate wako kua ni mhalifu utawezaje kujua uhalifu wa mtu mwingine amnaye yuko mbali?

Unasema waliopanga conspiracy za ugaidi ni makomandoo halafu unawahamisha kutoka kituo cha polisi chenye askari wengi (sehemu yenye uhakika wa usalama) unawapeleka kituo kingine tena mkiwa watatu tu bila securirty escort?
 
... hao walioandika hati ya mashtaka na wanaotoa ushahidi mahakamani kwamba hata Kiswahili kinawashinda? Kuwadhuru viongozi wa Serikali; sasa taja hao viongozi; Sabaya; wengine? Sabaya! Kwamba Sabaya anatajwa kwa wingi amekuwa Mungu?

Bwana Mungu na akasema, "tumfanye mtu kwa mfano wetu ...". Kwanini hati ya mashtaka na ushahidi visingetaja tu kiongozi wa serikali badala ya viongozi! Another mistake on jamhuri's side! You can see the ill motives behind thise case!
Ongeza na hii...

Kwamba hawa [Mahita na Jumanne] ni maafisa Polisi ngazi ya juu kabisa tena kitengo cha upelelezi chini ya RCO wao Kingai mkoa wa Arusha hawajui kuwa DC wa wilaya ya Hai Ole Sabaya toka mkoa wa Kilimanjaro amepanga na kutenda uhalifu wa kutisha ndani ya eneo lao la kazi...!!

Lakini cha ajabu wanaenda eneo lililo nje na maeneo ya kazi yao, mkoa mwingine bila wenye mkoa kujua na kwenda kuona na kukamata wahalifu..!!!

Hawa watu wajinga sana aiseeee...

Hii ni recklessness na weakness ya kiwango cha kutisha sana wanaonesha hawa polisi. THEY ARE EXPOSED!!

Msikilizeni wenyewe..
Screenshot_20211105-140038.png
 
Welcome 🙏🏾 to our beautiful country of Tanzania where you can give 2 different statements within a very short time and judge will pick the one which is suitable to him/Government.

Kibatala; unafahamu afande jumanne amesi amishwa kazi kwa kumbambikia mtu Meno ya tembo kwenye mzinga wa nyuki na yeye ni miongoni mwa mashahidi kwenye hii kesi?...
 
Ongeza na hii...

Kwamba hawa [Mahita na Jumanne] ni maafisa Polisi ngazi ya juu kabisa tena kitengo cha upelelezi chini ya RCO wao Kingai mkoa wa Arusha hawajui kuwa DC wa wilaya ya Hai Ole Sabaya toka mkoa wa Kilimanjaro amepanga na kutenda uhalifu wa kutisha ndani ya eneo lao la kazi...
Kuna watu wanakwenda KUFUFURUSHWA na vyeo vyao...hii kesi ni KUANIKA WAOVU Diipdaiva Darubidi ya Masafa
 
Magufuli alimtuma sabaya wilaya ya Hai kwa kazi ya kumdhibiti Mbowe!

Kwenye kutengeneza kesi ya ugaidi wakatumika maaskari walewale waliomsaidia na kumlinda sabaya alipokuwa akifanya matukio yake ya ujambazi huko Arusha.

Soon kitaumana!
 
Kuna watu wanakwenda KUFUFURUSHWA na vyeo vyao...hii kesi ni KUANIKA WAOVU ....Diipdaiva Darubidi ya Masafa
Nani atakaye wafurusha? Kama Chifu Mkuu mwenyewe alishatoa tamko kitambo la kuwaunga mkono waendesha mashtaka wake!

Na Ai Jii Pii naye kitambo alishasema Mbowe siyo Malaika! Na alisema wakati wa ushahidi ndipo mbivu na mbichi zitakapo julikana.
 
Welcome 🙏🏾 to our beautiful country of Tanzania where you can give 2 different statements within a very short time and judge will pick the one which is suitable to him/Government.
Two different statements based on two different questions prior to it, there’s nothing wrong with the answers, the only fault here is probably your lack for genuine interpretation.

Bottom line, swali la kwanza ni kuhusiana na kufukuzwa kazi kwa askari husika na swali la pili ni kuhusiana na ushiriki wake katika tukio la ubambikiaji wa nyara za taifa.
 
Back
Top Bottom