Hii nchi ina watawala wa hovyo hatujawahi kupata. Nimemsikiliza spika yaani hadi nimeona aibu .

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mle bungeni..tuna maspika galasa ambayo yaako very biased..badala ya kusimamia sheria yanasimamiia matumbo bila kujali mstakabali wa Nchi juu ya mukdha tuliojiwekea.
 
Umesahau ya Zitto, mbona aliendelea kuw mbunge, ?
 

Moto unwaki
 
Hao ni mawazili na manaibu wake huko badae
 
Hii nchi ina watawala wa hovyo hatujawahi kupata. Nimemsikiliza spika yaani hadi nimeona aibu .

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Ni kinyaa kitupu ukisikiliza anachosema. Huwa najiuliza imekuwaje tunaongozwa na watu wajinga wa kiwango hiki. Cha ajabu watu wanaofanya haya wanajiita ni wasomi!

Nilichogundua baada ya ccm kupoteza ushawishi kwa umma na kuamua kutumia vyombo vya dola kukaa madarakani kwa shuruti, kumetokea ukiukwaji mkubwa wa sheria, na hali inazidi kuwa mbaya labda CDM ifutwe au wakubali kutawaliwa na ccm kwa mabavu. Na tabia hii ya ukiukwaji mkubwa wa sheria itachukua muda mrefu hadi hali halisi kujirudia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…