Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Manyara na Arusha

Najibu original post yako maana naona unatanua mjadala kwa irrelevant issues.
Aisee!!! Mpaka hapa, binafsi nawaachia wafuatiliaji wa mjadala huu nao wapate haki ya kutathmini maelezo tuliyotoa kisha wao wataamua ni " issues zipi ni relevant".

Kila la heri mkuu. Tukutane 28/10/2020 kumchagua rais, mbunge na diwani atakayetanguliza maslahi ya watanzania na uimara wa Taifa letu Tanzania katika nyanja zote.
 
Mwaka huu sijasikia wakisema watu waende na peni zao kwamba zile peni zilizowekwa pale na Tume zinafutika na kujiweka tick sehemu ya mgombea wa ccm:
 

Dharura inaeleweka na hakuna mtu atakayekuwa na tatizo na hilo. Angalia viongozi wote waliotawala zaidi ya miaka kumi na mambo yaliyo/ yanaendelea kwenye nchi zao, wengi ni matatizo na kushuka ubora wa utawala wao. List hapo chini
  1. Nyerere
  2. Moi
  3. Ghaddaf
  4. Mugabe
  5. Paul Biya
  6. Hosni Mubarak
  7. Museveni
  8. Mobutu
Hiyo ni list ya viongozi waliokaa madarakani zaidi ya miaka kumi, na kuishia kuharibu ubora wa tawala zao. Hata Mbowe angalia amefanya vizuri sana kwenye miaka 10, kwa sasa mizengwe inakuwa mingi, na lazima itaharibu ubora aliokuwa nao.
 
Ila naona kuna watu wamo kwaajili ya kutukana, na wengi ID zao ni Aug-Sep na Oct hii
 
Oyaaaaa πŸ˜‚
 
Wamasai wapandisha Mori baada ya kumuona Tundu Lissu huko Manyara
CCM KWISHAAA!!!HAHAHAAA!!!
Hahaha safi Sana ..hawa wamasai waombe mizimu ya kwao lissu ashinde .akishinda jiwe watafukuzwa wote katika ardhi yao wataambiwa kuwa waaishi ktk ardhi yenye hifadhi ya tiafa πŸ˜‚ πŸ˜‚ ..jiwe kwa visasi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…