Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #81
Joined yesterdayNilichogundua hoja za vyama vingi vya upinzania vimekaa kutugawa Watanzania, nadhani, CCM itaendelea kubaki imara muda wote na watanzania wataipigia kura.
Na kwa heshima ya kipekee asiache kufika nyumbani kwa Marehemu Kamanda MawazoTL tembelea wilaya ya bukombe,mbongwe, nyangwale,chato,geita vijijini na Jimbo la busanda ukiwa mkoa wa Geita. Hali ya barabara,umeme,maji Safi na salama hakuna.pia tembelea nyarugusu,rwamgasa, na kakola
Amekuja kutafuta posho, hizi buku 7 zitawatoa ufahamu hawa vijana hadi lini?Joined yesterday
ujumbe umepokelewaNa kwa heshima ya kipekee asiache kufika nyumbani kwa Marehemu Kamanda Mawazo
Wakuu natanguliza salamu na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye mada, kama mnavyojua Kampeni zinaendelea na leo tena Mh Lissu ambaye anapewa asilimia kubwa kutwaa urais wa nchi atakuwa kwenye mikoa ya Kagera na Geita, katika kanda hii kunatarajiwa kupigwa mkutano maalum wa kipekee kwenye jimbo la Chato.
...
Ahsanteni watu wa Nyakanazi.
Ukweli watanzania wamechoka CCM. Ili ukubwliane na maneno yangu subiri TL akiwa mkoa wa Geita alilizaliwa JPM utaona atakavyoungwa mkono.
Naenda kwa mama lishe kuagiza ubwabwa na maharage; nile kwa raha zangu.Huenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa
Sasa unalia au unalalamika ?Wewe, wewe "Erythrocyte, unatuchosha na upuuzivwako. Kila bandiko lako, kuhusu Kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka huu ni matukio ya nyomi kana kwamba ndizo Sera za CHADEMA. Wakati mwingine unaweka bandiko za kuwazungumzia vibaya wagombea wasio wa CHADEMA. Akili za upotolo tu.
SHAME ON YOU. Na hao wananchi wa Nyakanazi watawaadhibu vibaya kwenye sanduku la kura ili tuwaone barabarani mkipinga matokeo.
Yawezekana Watanzania wameichoka CCM, lakini ukweli ni kwamba, ninyi wafuasi wa CHADEMA, na Lissu, mgombea wenu wa Urais, mnatuchosha humu JF na mnawachosha wapiga kura kwa hadithi za Abunwasi (kama ulisoma kitabu hicho).
Kila siku hoja zenu ni VIOJA. Yanayojiri kwenye kampeni za Lissu na lugha yake ya kumdharilisha Magufuli, Rais aliyeko madarakani. Ukweli anavyoendelea kufanya hivyo atapata nyomi ya vijana ambao kwa kawaida mambo ya udaku huwavutia. Kinyume chake anajijengea chuki kwa wapiga kura.
Bwabwa hashimu rungwe anagawa bureeNaenda kwa mama lishe kuagiza ubwabwa na maharage; nile kwa raha zangu.
bora umesema na wewe huyu dada kila siku huwaga namuuliza hivi kweli yuko serious na anachokisemaga au anatania? lissu awe rais ? labda wa tffEti anapewa Asilimia kubwa kuwa Rais! Mkuu pamoja na kisomo chako na uelewa wako unaweza kuzungumza upotolo kama huu?
Hata kama una huba na mahaba uwe serious kidogo basi.
Tuko huku katoro mkoa wa Geita, tunamsubiri mamia kwa maelfu ya watu.Tundu Lissu hawezi kuwa Raisi wa kujenga Airport ya kimataifa Ikungi
Mimi niko hapa Geita namsubiri kwa hamu
ππππHuenda Leo mgombea mpendwa tundu lisu akawa chato anakotokea mpinzani wake anaesuasua bwana Jpm jiwe
Swali wanachato wakijitokeza maelfu kwa maelfu kumlaki mgombea huyo anaeongoza kwenye kura za maoni ,Jpm atakuwa kwenye hali gani?
Tutarajie kwanzia hapo upepo utabadilika kabisa
Hivi huyu mtu alitabiri kwel kipindi hicho au ?? mbona kama naona akipanda basi inaitwa Matundulu akihamisha mizigo hadi Mleba kwa nyuma kidogo
Una mawazo kama yangu! Jana, tarehe 20/09/2020, nilikua na ofisa wa serikali, nikafanikiwa kumshawishi kuchagua Lisu, mbunge na diwani wa CHADEMA! Taasisi anayo fanya kazi,ya kilimo na mifugo, hawajalipwa mwaka Huu! Jamaa akaniambia badala ya kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji ambako kuna ajira za Watanzania wengi, wananunua ndege, ambazo wasafiri ni wachache wenye maisha mazuri!Ni yeye 2020
Ndugu zangu na sisi huku kitaa tupige campegne kwa kamanda lissu. Mimi nimetekeleza wajibu wangu kwa mtu mmoja mmoja. Nikiwa kibanda umiza, kwenye mabasi, kijiweni kote huko namwombea kura kamanda lissu.
Lissu ana nia na dhamira ya kutuvusha toka hapa tulipo. Tuacheni ujuha, ccm ipumzishwe imeshachoka na pumzi haina. Tukapige kura za ndio kwa kamanda Lissu kwa wingi. Kama mwenyewe anavyosema. Tupige kura za kimbunga na tufani.
#Niyeye2020Lissu
eti!!!!??Huyo alivaa kofia ya pama hapo kwenye picha ndo anataka Urais?
Siasa haina kanuni. Lolote linaweza kutokea. Kilicho wazi ni kuwa CCM na wagombea wake wanategemea usaidizi kutoka Tume ya uchaguzi na vyombo vya usalama ikiwemo mahakama.Mkuu sanduku la kura ndio huamua yote, wanaomlalamikia JPM wapo lakini wanafahamika kwa makundi.
Lowasa aliungwa mkono kuliko Mrema, kuliko Tundu Lissu leo.
Jiandae kisaikolojiabora umesema na wewe huyu dada kila siku huwaga namuuliza hivi kweli yuko serious na anachokisemaga au anatania? lissu awe rais ? labda wa tff
Tatizo lililopo sio elimu.hata ukiweka miwani watu wataipigia kura miwani na kuichagua ,maisha yamekuwa magumu sana.wananchi hawataki tena CCM.Eti anapewa Asilimia kubwa kuwa Rais! Mkuu pamoja na kisomo chako na uelewa wako unaweza kuzungumza upotolo kama huu?
Hata kama una huba na mahaba uwe serious kidogo basi.
Safari hii hatutamwachia Mungu , wakiiba patachimbika na ni lazima warudisheSiasa haina kanuni. Lolote linaweza kutokea. Kilicho wazi ni kuwa CCM na wagombea wake wanategemea usaidizi kutoka Tume ya uchaguzi na vyombo vya usalama ikiwemo mahakama.
Aiseee!!!...nilikuwa nije Buseresere ila hapa Geita mjini wananchi wanakiu ya Haki na Maendeleo ya watuTuko huku katoro mkoa wa Geita, tunamsubiri mamia kwa maelfu ya watu.