Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu katika viwanja vya Zakheim Mbagala, TBC Wafukuzwa

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu katika viwanja vya Zakheim Mbagala, TBC Wafukuzwa

CHADEMA badirisheni huyo sound engineer, anafifisha sauti ya Lissu

Wale wanaojua namna sound engineers wanavyowaondoa watu majukwaani kwa kuwafifishia sauti ndivyo huyu Sound Engineer anavyomhujumu Lissu
 
Muwe mnafikiria kwa kutumia akili na sio masaburi
Siku ya kutambua kufikiria ni siku ya mwisho ya kupiga kura saizi wote tunarukaruka tu, siku hiyo ndo utakuja na mawazo yako
 
"Uchaguzi wa mwaka huu katika majimbo 264, Chadema iliweka wagombea Ubunge katika majimbo 244, hatukuweka wagombea kwenye majimbo 20 ya Pemba lakini wagombea wetu 53 wa Ubunge wameenguliwa." Mhe. @TunduALissu, mgombea urais wa Chadema. #UzinduziWaKampeniChadema
IMG_20200828_173552_465.jpg
 
"Uchaguzi wa mwaka huu katika majimbo 264, Chadema iliweka wagombea Ubunge katika majimbo 244, hatukuweka wagombea kwenye majimbo 20 ya Pemba lakini wagombea wetu 53 wa Ubunge wameenguliwa." Mhe. @TunduALissu, mgombea urais wa Chadema. #UzinduziWaKampeniChademaView attachment 1550776
Baada ya kuipitisha picha kwenye Photoshop ndio mnaanza kuweka. Pwahaaa. Wekeni live 360 degree.
Watu wamepwaya.
 
Mkutano umedoda kweli kweli, "Body Language" za Viongozi ni dhoofu, nyuso zao zimejawa na hasira na wanoekana kukata tamaa.

Frustrations za kudoda kwa mkutano zimehamishiwa kwa TBC wamefukuzwa uwanjani.[emoji38][emoji38][emoji38]
Ndiyo maana uzi huu haukimbii...!! Ha ha haaa! Wameacha kumsikiliza Salary Slip kuwa wasogeze mbele ufunguzi wa kampeini ili washughulikie mapingamizi..!!! Naona Salary Slip kawashughulikia. Kwi kwi kwi kwiiii!
====
Chadema hawako serious juu ya masuala yanayowahusu wananchi, ndiyo maana wanafanya mambo ya kuwaudhi wananchi. Wanadharau mali za wananchi mfano TBC, na hapo hapo wanataka wananchi wawaunge mkono. Wanashangaza!
 
Hawa viongozi wa chadema wamejawa na ulaghai wanataka kuweka mpira kwapani. Ndicho tunachotaka kuwa Watanzania wajitambue. Waweze kuondesha kukerwa na baadhi ya tabia za viongozi wanao kejeli na kukebehe maedeleo ya serikali ya awamu ya tano.

Watanzania wawaoneshe kwa vitendo kuwa wanakerwa na wanauzika kwa tabia yao hiyo ya kukejeli na kudharau maendeleo. Wanafunzi ambao wananufaika na mikopo ni wakati wao kuwaonesha hawa vibaraka wa mabeberu, ushoga na usagaji kuwa wanakerwa na tabia yao ya kukejeli na kudharau juhudi ambazo serikali inafanya katika maboresho ya elimu Tanzania.

Kama wako Watanzania waliandamana kuonesha South Afrika kuwa tumeudhika na kuchukizwa ba kitendo chao cha kusaidiana na beberu kuzuinga ndege yetu. Nini kinatushinda Watanzania kuwainesha kwa vitendo viongozi hawa wanaokejeli maendeleo kuwa wanatuudhi, wanatukera na kutujasirisha sana?! Kwamba washike adabu zao, wajiheshimu na wabadilike kwa hiari yao kabla hawahalazimishwa kubadilika?
 
Lissu amekinukisha. Ameitisha maandamano ya amani nchi nzima. Anadai wagombea wa vyama vingine tofauti na CCM wengi wameondolewa. Amewataka vyombo vya ulinzi wasitumie silaha wanazobeba kwa jina la Jamhuri dhidi ya wananchi
 
CHADEMA wanajiharibia wenyewe watanzania sio wajinga wamesha wasoma hawa watu, mtu huwezi kwenda kwenye mkutano wa namna hiyo.

Usiseme watanzania, sema watanzania wenye mitazamo ya kiccm. Labda useme hao waliokuwa kwenye huo mkutano ni wakenya.
 
Ndo kusema sera ya kwanza ya CHADEMA ni kufanya vurugu, kwani hao waliokatwa wamekatwa na wananchi?, Kama hapana, basi hizo vurugu zifanywe na hao viongozi wa chadema dhidi ya wakataji, maana kuwahusisha wanaanchi ni kuwaonea tu,
Hahahahahaha mnachekesha ili msaidiwe na Police, mtadeal na nguvu ya umma hamna namna..
 
"Uchaguzi wa mwaka huu katika majimbo 264, Chadema iliweka wagombea Ubunge katika majimbo 244, hatukuweka wagombea kwenye majimbo 20 ya Pemba lakini wagombea wetu 53 wa Ubunge wameenguliwa." Mhe. @TunduALissu, mgombea urais wa Chadema. #UzinduziWaKampeniChademaView attachment 1550776
Makamanda mnatuangusha sana kwenye media kuweni active mlitakiwa muwe active since morning Haya ni MAPAMBANO
 
Amewaomba jumuiya za kimataifa(mabeberu) wawaunge mkono wapinzani katika kudai haki ya kushiriki uchaguzi
 
Lissu amekinukisha. Ameitisha maandamano ya amani nchi nzima. Anadai wagombea wa vyama vingine tofauti na CCM wengi wameondolewa. Amewataka vyombo vya ulinzi wasitumie silaha wanazobeba kwa jina la Jamhuri dhidi ya wananchi

Hiyo ndio inayotakiwa. Haya mambo ya kuendelea kuhubiriwa amani huku wanaohubiri hiyo amani, ndio wanafanya uhuni haifai.
 
Ndiyo maana uzi huu haukimbii...!! Ha ha haaa! Wameacha kumsikiliza Salary Slip kuwa wasogeze mbele ufunguzi wa kampeini ili washughulikie mapingamizi..!!! Naona Salary Slip kawashughulikia. Kwi kwi kwi kwiiii!...
Tibisi walitegwa wakategeka ..aibu ile kufufurushwa mbele ya halaiki
 
Ameitaka jumuiya ya kimataifa waiwekee serikali vikwazo,mabalozi wetu warudishwe nyumbani/wawatimue. Serikali yetu isiwe na rafiki hata wa kumwomba maji ya kunywa ili watende haki
 
Back
Top Bottom