n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Ni lini Chadema waliwahi kukubali Matokeo?. Wakubali, wakatae, walie wanue Tanzania ni zaidi ya chadema. Wengi wape.Lissu awe mstaarabu akubali matokeo maana hii ya kuanza kupitapita kabla matokeo hayajatangazwa ni dalili ya kutokubali kuyapokea matokeo.
Je wabunge wake (endapo watashinda) watatoka Bungeni siku ya kulizindua?
Amen
Yaani jamaa ana kiwewe hadi anaanza kuleta habari za “dikteta Bashiru”.Go easy on them... Watu wana machungu labda hisia zikikaa sawa watajifunza.
Mkazipeleka wapi?Kura tulizozifuma zinaWatermark ya Tume ya uchaguzi
OyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeCCM OYEEE
Hahaha umewahi kuona jambazi linatumia akili?Ni mjinga pekee ndo ataekubali matokeo..
Ni hivo yanii...Hahaha umewahi kuona jambazi linatumia akili?
Yote hutumia nguvu na silaha za maangamizi, ama kutishia au kuangamiza.
Haya Mtayapost weeee
huko utwitani na facebook hakuna wapiga kura, wapiga kura wengi hawajuhi hata kama kuna kitu kinaitwa tweeter duniani, wao wanachotaka ni hospitali, maji, umeme nk....upinzani wakigundua umuhimu wa watu hao haki ya Mungu ushindi utakuwa wa kumwaga!