Hivyo kasahau kuwa alikuwa anavaa soksi mikononi.
 
Hahahaha, utaratibu ulibadilishwa ktk kura za maoni za ubunge jimbo

Kuna wajumbe wajumbe wa jumuia zao ,wajumbe wa vikao husika

Ila si kila mwanachama
Huu ndio utaratibu wa zamani kabla kikwete kubadilisha, nazani mkwere aliiga style ya marekani, wajumbe wachache ni rahisi kuhonga wote, kwa wenye hela, tofauti na wanachama maana ni wengi.
 
Silinde sasa akaanze kazi yake ya kusaga mpunga pale mbozi karibu na hotel ya shaba
Huyu kaja cdm na sendoz
Cdm ikampa Kazi ya kufanya PA Ana zunguka na Gari la matangazo......
Cdm kilimbeba sana hadi kumlipia Ada ya chuo
Alafu anatoka anaongea shyt khs cdm kwann asingeondoka kmya kmya tu... Ona sasa
Ccm wanapiga spana wenye Chama wnyew hawataki ujinga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Aende Sasa TLP sasa

Ova
 
Huu ndio utaratibu wa zamani kabla kikwete kubadilisha, nazani mkwere aliiga style ya marekani, wajumbe wachache ni rahisi kuhonga wote, kwa wenye hela, tofauti na wanachama maana ni wengi.
Yeah , kwa sasa mfn kawe mbunge atapita kwa kupigiwa kura za wajumbe ,wasiozidi 600+

Ila kwa udiwani wameongeza wale wajumbe wa mashina /Nyumba kuni kupiga kura za udiwani
 
Mwita, Lijualikali, Ghekuli, Musiba na wengine waliokuwa Wakuu wa Wilaya na Mikoa wana nafasi kubwa ya kushindwa.

Ila wakongwe kama kina Serukamba na CCM Asili hususan wale wafuasi Lowassa leo watashinda.
Leo zamu ya mwita waitara kuangukia pua tarime.wote waliomtukana mbowe lazima wataanguka tu.silinde,lijualikali,waitara.........
 
Ndugu zangu CCM

Najua mko kwenye wakati mgumu viongozi wangu

Naomba kutoa wito tumechoka na siasa za nje ndani leo n kesho out badooo mpo

Unaomba mtuletee mwanamama atuongoze temeke yetu..siasa za zamani tushazichoka

Mmajina yanakujà matatu kazi kwenu huko

Tukutane uchaguzini

Tano ya Dkt. JPM

Tano ya CCM

All d best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…