Msaliti Mashiji kura 2.
Unafikir mimi nimechukua fomu au nategemea siasa kuishi kama wewe? Acha kuota dogo.
Pascal mayalla anapigwa vzr kabisa hana uwezo wa kuwa mwakilishi wa Wananchi kazi anayoweza ni kumsifia rais if basi......Leo ndugu yetu mayala lazima atage
KAWE
Angela Kiziga - 85
Gwajima -
KAWE
Angela Kiziga - 85
Gwajima -
Sio dhambi tuu, kwamba hawana umaarufu bali Chadema ndio maarufuMwaka huu lazima wajue kuwa usaliti ni dhambi
Ngoja akusikie akupige banKajitahidi lakini..πππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kura 1
gwajima 79
Wamemaliza au bado wanahesabu ?Kawe
Angela 85
Gwajima 79
sitta-61
Safi sana sanaaaaaPasco Mayalla Kura Mojaaaaaa!!!!!