kupita kura za maoni ni utaratibu tu wa vyama mziki upo kwenye waamuzi wa mwisho ambao ni raia katika sanduku la kura, Wao hulipa yale ambayo unastahili
Hivi ukishapita kwenye kura za maoni ndo umepita au unaweza kukatwa huko mbele even wananchi wamekuchagua wewe?
 
Yaani Jimbo la Nyamagana CCM wakimrudisha Stanislaus Mabula, jimbo atachukua Komredi John Pambalu wa Chadema
 
Kigoma Mijini waislam ni wengi kwa maana hiyo wao ndiyo waamuzi wa nani awe mbunge.

Ni Kama Zanzibar. Pale Mkristo akigombea hawezi kushinda.

Kwa hiyo usitoe povu sana wakati mwenzako kasema ukweli
Sasa nawe huo ndo umeona ni mfano?
 
Ester Bullaya si ester mmassy
 

Sawa, tutairudia hii comment baada ya matokeo.
 
Hivi kura za maoni kwenye nafasi ya urais zilisha pita?
Walikuwa watia nia wawili tu mmoja akachinjiwa baharini akalialia huko machozi yake ikaenda na maji mara ZZK akamuokoa baada ya bahari kumsukumia ufukweni, basi wengine wakaona muvi ilivyoektiwa wakakunja mikia akabaki mmoja tu akapambana yeye na kivuli chake na yeye kuibuka kidedea!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…