soine
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,113
- 2,329
Nyalandu yupo safi sana kwenye kujieleza. Jamaa ni presidential material, ila watu wa mihemko watampa TL. Sioni tofauti ya TL na Magufuli, wote ni watu wa kukurupuka kwenye maamuzi na maneno, sio viongozi na hawajalelewa kiuongozi.
Hivi nyakati zile za mwenyekiti wetu Magu na akina migiro na Amina, watu wa mihemko walikuwepo?