Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Vikao vya CHADEMA: Tundu Lissu aibuka kidedea kuwania Urais wa Tanzania kwa kupata kura 405 dhidi ya Nyalandu 36 na Dkt. Majige 1

Una grievances zako binafsi nadhani na Tundu Lissu....

Hujaona kitu kimoja katika hii "very well directed movie" wanayofanya CHADEMA ambayo mimi na naamini na wengine wameona....

Nimemsikiliza Nyalandu Lazaro mwanzo mwisho. Nikamsikiliza Dr MayRose Majinge naye mwanzo mwisho na mwisho nikamtazama na kumsikiliza Tundu Lissu mwanzo mwisho...

Kwa hakika kabisa, TUNDU LISSU ameshapita hata kabla ya kura kupigwa. Hii kitu ndivyo ilivyokuwa planned...

Hotuba yake tu inaeleza na kuthibitisha kila kitu hata namna ilivyopokelewa na kuamusha hisia za wajumbe....

Ni hotuba ambayo si ya kunyenyekea kuomba kura kwa wajumbe. Ni hotuba iliyobeba "authority" ndani yake kama vile tayari keshathibitishwa kuwa mgombea rasmi ili hali yuko kwenye mchujo...

Na ni hotuba ambayo moja kwa moja ikishambulia SERA na UTAWALA wa CCM chini ya Bwana John Pombe Magufuli. Ni picha inayoonesha kuwa Bw. Nyalandu na Dr MayRose ni wasindikizaji tu....!!

Nyalandu ni mtu mzuri na anaweza kuwa Rais. Lakini ktk uchaguzi wa mwaka huu 2020 hafai, hatawez. Huyu hawezi purukushani za kupambana na CCM. Ni kwa sababu CCM wenyewe wana mgombea mtukutu na mpenda Shari...

Huyu anapaswa kupambanishwa na mtu wa aina ya Tundu Lissu. Wagombea legelege wasiojiamini hawawezi kupambana na CCM hii na mgombea wao. Tundu kaonja mauti. Haogopi lolote. Huyu anafaa. Ni jasiri sana. Ana uelewa sana wa mambo mengi....!

Hii ndiyo tofauti ya wagombea hawa watatu....

Kwako wewe huyu bwana TL siyo "presidential material". Ni sawa na haki yako kabisa kumtazama na kum - describe kwa jinsi hiyo japo hujatoa sababu zote kuunga mkono hoja yako hiyo....

Lakini watoto wa mjini wanasema " .....usiyempenda kaja, yuko hapo anabisha hodi mlangoni mwako..."
Wewe mwenyewe ulivyomwelezea inaonekana hafai kuwa raisi kwa wakati huu
 
Lissu kakataa wasiitwe wajumbe wakaja fanana tabia na wale wa ccm wala rushwa na ambao wagombea wao wamesema "wajumbe sio watu"
Hawa wa Chadema wanaitwa "waheshimiwa viongozi".
Lissu akili kubwa sn ndio maana ccm wanatetemeka sn...
 
Niko nje hapa taarifa zinasema tayari Mwanasheria "nguli" afrika mashariki na kati Mheshimiwa Tundu Lisu tayari anajiandaa kuongoza mashambulizi.
 
Uko sahihi mtu kumwita mke wa mtu mwingine Malaya hakumfanyi mkewe Malaya kuwa mtakatifu!!!

Approach Ya Lisu haiko sahihi
Inatakiwa aelezee nini atafanya siyo kusema mapungufu ya mwingine. Kama sababu za yeye kugombea ni mapungufu ya mwingine itabidi aweke kwenye equilibrium strength and weakness za aliyepo madarakani. Kwasababu hakina binadamu hata mmoja aliyemkamilifu
 
ikatokea tu ACT WAZALENDO na CHADEMA kumfanya raisi ni mmoja nchi imechukuliwa na wapinzani .
 
ikatokea tu ACT WAZALENDO na CHADEMA kumfanya raisi ni mmoja nchi imechukuliwa na wapinzani .
Ili kuweka ushindani mzuri kila chama chenye uwezo wa kumsimamisha mgombea imsimamishe , swala la kuungana ni woga wa ushindani
 
Lissu kakataa wasiitwe wajumbe wakaja fanana tabia na wale wa ccm wala rushwa na ambao wagombea wao wamesema "wajumbe sio watu"
Hawa wa Chadema wanaitwa "waheshimiwa viongozi".

Nilimusikia.. wajumbe wajumbe tu..😃😃😃
Nyanyua kichwa cha Nyalandu tumuwone.. 😁
 
Uko sahihi mtu kumwita mke wa mtu mwingine Malaya hakumfanyi mkewe Malaya kuwa mtakatifu!!!

Approach Ya Lisu haiko sahihi

Alitakiwa ajikite kwenye Ilani ya Chadema Kama mwrnzie Nyalandu
Unapo pambana na CCM mambo ya Ilani weka pembeni hayatakusaidia bali jikite kuelezea mapambano utapambanaje.
Unapambana na jambazi wewe una unataja vifungu vya sheria ya trespass? CCM ni mfano wa majambazi hayo mambo ya ilani hayana mpango, mbona hata UDP wana ilani!
 
Back
Top Bottom