Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sijui hata nikujibu nini ili ionekane kuwa sina nia ya kukuvunjia heshima!Kuna kitu gani ambacho nimeandika hapo ambacho nimemsingizia mtu?Rais anaehamasisha ufisadi kwenye serikali yake siyo fisadi?Utakachokipata hutaamini usifikiri upo JF basi upo sawa
Acha vitisho tuambie utamfanya nini huyu kijana? Wewe ni mtu mzima hivyo jitahidi kujibu hoja kwa hoja na si vitishoUtakachokipata hutaamini usifikiri upo JF basi upo sawa
Kwa sababu wewe ni msafi wa 100% unaweza kumuona binadamu mwingine ni mdhambi.Ana Dhambi ambazo hazivumiliki nchini.
boojoWengine tuliliona hili tangu liteuliwe lile lyehu kwenye wizara,
Hakuna jipya.
wacha wavuane undersketiHaya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.
Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti la RAIA MWEMA la Leo ( 19 January, 2022 ) Ukurasa wa Nne ( 4 )
Hayo mengine ni ya kusifia chief H na serikali yakeMagazeti mengine mbona hayajaripoti habari njema kama hii?
Nina mashaka na hii habari
Makonda anaonewa sana na watu wa nchi hii, sijui aliwakosea nini mtoto wa watuHaya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.
Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti la RAIA MWEMA la Leo ( 19 January, 2022 ) Ukurasa wa Nne ( 4 )
Wamiliki wa hili gazeti waunganishwe kwenye kesi ya ugaidi wa SabayaUjinga mtupu gazeti la raia mwema ni timu gaidi
Hahahaha alikula raha kuliko sisi wote kipindi kile sasa ataenda kula msoto pia ajiandaeMakonda anaonewa sana na watu wa nchi hii, sijui aliwakosea nini mtoto wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hhaahahahahh Makonda anaonewa sana, mara mseme ameiba vyeti , mara kavamia studio za clouds, yaani yote hiyo kumchafua tu. Ningekuwa mimi ni Makonda ningeenda kuishia Butiama kwa baba wa Tanganyika.Hahahaha alikula raha kuliko sisi wote kipindi kile sasa ataenda kula msoto pia ajiandae
Ivi kwenye kuiba vyeti aliwahi toa ushahidi kwamba si kweliHhaahahahahh Makonda anaonewa sana, mara mseme ameiba vyeti , mara kavamia studio za clouds, yaani yote hiyo kumchafua tu. Ningekuwa mimi ni Makonda ningeenda kuishia Butiama kwa baba wa Tanganyika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hhaahahahahh Makonda anaonewa sana, mara mseme ameiba vyeti , mara kavamia studio za clouds, yaani yote hiyo kumchafua tu. Ningekuwa mimi ni Makonda ningeenda kuishia Butiama kwa baba wa Tanganyika.
Sent using Jamii Forums mobile app
He was an invisible Terrorist while in power.Makonda anaonewa sana na watu wa nchi hii, sijui aliwakosea nini mtoto wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Absolutely Chief.Ivi kwenye kuiba vyeti aliwahi toa ushahidi kwamba si kweli
Kwenye kuvamia studio ushahidi ulitolewa vp aliwahi sema si yeye
Huyu kinacho mponza n dharau na ujivuni wa kijinga
Mpaka hivi sasa Umebahatika Kumzalia Watoto wangapi kwa Msaada wa Madaktari wa Maabara?Hhaahahahahh Makonda anaonewa sana, mara mseme ameiba vyeti , mara kavamia studio za clouds, yaani yote hiyo kumchafua tu. Ningekuwa mimi ni Makonda ningeenda kuishia Butiama kwa baba wa Tanganyika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe uliwahi Kubahatika kuwa na Akili lini labda?Hayo hayana tofauti sababu wanaotumia maneno hayo ni wachafukwa wa akili.
Ni afadhali kila mtu atambe "unanijua mimi ni nani", kuliko wasukuma kadhaa kujimilikisha nchi kifalafala tu!Ile kauli ya "Ununijua mimi nani" tayari imeshashika kasi huku mtaani
Anahangaika kutaka Kuiuza Hoteli yake Kubwa, ya Kifahari na ya Kifisadi Mkoani Mwanza ili ajipange Kukimbia nchi baaada ya Kumaliza Masomo yake ( Masters Degree ) anayoifanya sasa katika nchi Moja Rafiki mno na Tanzania iliyoko ukanda wa SADC.Mbona jamaa siku hizi hatokei mbele ya vyombo vya habari.