Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Na wapiga kura wengi ni wanawake!
 
Mwanaume umbea umbea utafanywa kitu mbaya sana ata yesu kule Galilaya alikuwa anapenda umbea walichomfanya anajua na mungu wake.
 
Walilalamika Serikalini ni asilimia 20 kwa Waislamu na 80 kwa Wakristo, kwa sasa Chadema ni asilimia ngapi kwa ngapi kati ya Wakristo na Waislamu?
Unafikiri ni nafasi za uteuzi hizi
 
Tunapo sema chama makini ni chadema mnabisha.

Huyu mbati na kunipendeleza kwote haya, Mkuu wa mabank Tanzania katua Vunjo..

Waziri wa fedha mtarajiwa.

DKT CHARLES KIMEI ACHUKUA FOMU KUNOGESHA UBUNGE JIMBO LA VUNJO.

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CRDB ,Dkt Charles KIMEI amejitokeza kuchukua fomu ya kuwania ubunge katika jimbo la Vunjo hali inayiashiria uwepo wa mchuano mkali miongoni mwa makada wa Chama hicho waliojitikeza kuchukua fomu hii leo.

Ikumbukwe Jimbo la Vunjo limekuwa chini ya James Mbatia ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha NCCR-Mageuzi taifa.

Anaripoti @dixonbusagaga

#cloudsdigitalupdates
 
Kuna watu this time watapiga nyeto jukwaani sio push-up
LA la la, uwiii! Ina maana ile tabia ya kuzungumzia ngono kila awapo mbele ya mic ni maandalizi ya tukio hilo ambalo wataalamu wa siasa wataliita KUBWA KULIKO HAPA KAZI TUU?
Kila lakheri kwa maandalizi ya kitendo hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…