Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Mkuu huyu mrema hapana mda wowote anaunga juhudi,nawasihi cdm wasifanye makosa kumptisha mremaHuyo Mrema atapitishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyu mrema hapana mda wowote anaunga juhudi,nawasihi cdm wasifanye makosa kumptisha mremaHuyo Mrema atapitishwa
Bulaya ni Mchaga wa ....!Cdm kila Kona kawekwa mchaga
Walilalamika Serikalini ni asilimia 20 kwa Waislamu na 80 kwa Wakristo, kwa sasa Chadema ni asilimia ngapi kwa ngapi kati ya Wakristo na Waislamu?
Na wapiga kura wengi ni wanawake!Akina mama wengi ndio walienda kupiga kura sababu wengi wana vikundi vyao vya akina mama mitaani vya kusaidiana,kitchen party,send off,vicoba nk ( AKINA MAMA SHUGHULI) hivyo walihamasishana kuwa akina mama shime twende tukamsaidie mwanamama mwana kikundi mwenzetu!! wengi walioshinda akina mama wameshinda kupitia akina mama wa vikundi vyao .Na hii ni kazi ya Halima Mdee aliwahamasisha akina mama kutumia mitandao yao ya kivikundi mitaani kushinda
Bulaya ni Mchaga wa ....!
Hapa ndo kulikuwa na mchuanoJimbo la kigamboni
Lucy magereli 53
Simon Magese 42
Inakuuma nini wakilisikia au unawashwa?Naona unapiga debe upate mgao wako, ila ubunge mtausikilizia kwenye bomba chadema mkiendelea na ujinga wenu huo
Kuna watu this time watapiga nyeto jukwaani sio push-upHaya mleteni yule mzee tumtoneshe tena vichomi vya 2015.
Cheupe kachukua fomu sameWake wa mwenyekiti wanashinda tu
Kagombee ata udiwani kwimba umtoe shija malando.Mmh kwa lipi basi!
sio kama serikali hii imejaa wasukuma tu kabudi,Dotto, n.kMBONA WAKRISTO TUU? AU NI UCHAGUZI WA PAROKIA?
Mwanaume umbea umbea utafanywa kitu mbaya sana ata yesu kule Galilaya alikuwa anapenda umbea walichomfanya anajua na mungu wake.Uchunguzi binafsi nilioufanya ni kuwa chadema imeficha taarifa za ukweli wa kilichotokea
ni hivi matokeo yalitakiwa yaandikwe hivi
1.Idadi ya wajumbe wanaostahili kupiga kura kwenye eneo husika ni kadhaa
2.Waliopiga kura ni kiasi kadhaa
3.kura zilizopigwa kiasi kadhaa
4.Kura zilizoharibika kiasi kadhaa
5.Kura ambazo kila mgombea kapata kiasi kadhaa
Walichoficha chadema ni hiyo namba moja ambayo mimi ndio nimeigundua kuwa wanachadema wengi kwenye maeneo wameisusa chadema hawakwenda kupiga kura kabisa.Waliopiga kura hawafikii hata asilimia kumi ya waliotakiwa kwenda kupiga kura ya maoni!!!!
Pili wanaume walisusa kwenda kura za maoni Akina mama wengi ndio walienda kupiga kura sababu wengi wana vikundi vyao vya akina mama mitaani vya kusaidiana,kitchen party,send off,vicoba nk ( AKINA MAMA SHUGHULI) hivyo walihamasishana kuwa akina mama shime twende tukamsaidie mwanamama mwana kikundi mwenzetu!! wengi walioshinda akina mama wameshinda kupitia akina mama wa vikundi vyao .Na hii ni kazi ya Halima Mdee aliwahamasisha akina mama kutumia mitandao yao ya kivikundi mitaani kushinda
Tatu kuna FEMINIST MOVEMENT ndani ya Chadema iliyo chini ya Halima Mdee na ESTHER BULAYA na inakuwa funded na feminist movement za nje imesaidia kutoa support ya wanawake wengi CHADEMA kushinda
Tutarajie wanawake wengi sana kuwashinda wanaume kura za maoni Chadema
Ata wewe naskiaga ni demu wakeHao ni mademu wa mwenyekiti lazima wang'are
Unafikiri ni nafasi za uteuzi hiziWalilalamika Serikalini ni asilimia 20 kwa Waislamu na 80 kwa Wakristo, kwa sasa Chadema ni asilimia ngapi kwa ngapi kati ya Wakristo na Waislamu?
Na wewe mbona hujashinda wakati huko ccm una bwana tena mkubwa tu.....!!!!Wake wa mwenyekiti wanashinda tu
Hongera sana Mheshimiwa Asia. Ukonga Octoba tunachukua Jimbo asubuhi.
LA la la, uwiii! Ina maana ile tabia ya kuzungumzia ngono kila awapo mbele ya mic ni maandalizi ya tukio hilo ambalo wataalamu wa siasa wataliita KUBWA KULIKO HAPA KAZI TUU?Kuna watu this time watapiga nyeto jukwaani sio push-up