rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kule waliposhinda kina Ester Bulaya hakuna wanaume au unapost ili uonekane umepostHalafu mbona wanawake wanashinda sana kura za maoni hapo Dar kwa CHADEMA, naona kwa leo tu kuna Agness Lambart ameshinda Segerea, Susan Lymo Kinondoni, na Lucy Magereri huko kigamboni, bado hatujaongelea kawe ambapo mdee lazima atachukua, kuna ukonga alishindaga Asia Msangi dhidi ya Waitara na najua hata this time atashinda. Wanaume wa Dar wa CHADEMA mnakwama wapi?
Huyu si alikuwa na makandokando
Huyo Mwalwangwe ndo Nani naona Ni mpya kabisa kwangu
Huyo jamaa namfahamu, ni mpole mpole, mlokole flani hivi lakini ni mpenda haki sana balaa, hivyo akipitishwa na chama nakwambia patachimbika huko Kyela.Huyo Mwalwangwe ndo Nani naona Ni mpya kabisa kwangu
Unajua kyela inastahili kilichobora kuliko hivi Sasa.Mwakyembe amefeli Sana Hilo jimboHuyo jamaa namfahamu, ni mpole mpole, mlokole flani hivi lakini ni mpenda haki sana balaa, hivyo akipitishwa na chama nakwambia patachimbika huko Kyela.
Hata akipitishwa uchaguzi mkuu atapigwa chini.Huyo Mrema atapitishwa
Endelea kutega sikio kutokea hapahapa JFHuyo Mwalwangwe ndo Nani naona Ni mpya kabisa kwangu
alitaka maamuzi ya kufukuzwa yatoke mapema kabla ya mchujo akate rufaa na agombee, yakatolewa baada ya mchujo 😁Kwani wapi wanazuiya?!
Mnyika kaenda wapi?Jimbo la Kibamba
Ernest Mgawe 72
Tarimo 22
Sambo 19
Mnyika hakuwepo kwenye list ya watia nia.
Muda utaongea.Mkuu huyu mrema hapana mda wowote anaunga juhudi,nawasihi cdm wasifanye makosa kumptisha mrema
Kweli wanawake wana msimamo sanaView attachment 1506003
Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba Wanachama wengi wa Chadema wanawaamini wakina mama kutokana na msimamo wao thabiti wa kutetea chama chao, inaaminika wanaume wengi wanajiuza kwa bei chee.
Mifano ni mingi, James Millya, Joshua Nassari na Mwita Waitara wanawakilisha mamia ya waliojiuza.
Chadema nao wana vyombo
Wenyewe huwa wanaita Beauty with brains sio yale makopo ya mbogamboga.
Mwanyamaki hajagombea ?Huyo jamaa namfahamu, ni mpole mpole, mlokole flani hivi lakini ni mpenda haki sana balaa, hivyo akipitishwa na chama nakwambia patachimbika huko Kyela.
Mwanyamaki ametumwa kufanya mambo mengine , safari hii hakugombeaMwanyamaki hajagombea ?
Nimeona kule Rungwe Mwambigija kapigwa chini na Sophia Mwakagenda