Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Uchaguzi 2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

Halafu mbona wanawake wanashinda sana kura za maoni hapo Dar kwa CHADEMA, naona kwa leo tu kuna Agness Lambart ameshinda Segerea, Susan Lymo Kinondoni, na Lucy Magereri huko kigamboni, bado hatujaongelea kawe ambapo mdee lazima atachukua, kuna ukonga alishindaga Asia Msangi dhidi ya Waitara na najua hata this time atashinda. Wanaume wa Dar wa CHADEMA mnakwama wapi?
Kule waliposhinda kina Ester Bulaya hakuna wanaume au unapost ili uonekane umepost
 
Warembo wanazidi kupaa juu, juu, juu mawinguni.
20200714_180148.jpeg
 
Huyo jamaa namfahamu, ni mpole mpole, mlokole flani hivi lakini ni mpenda haki sana balaa, hivyo akipitishwa na chama nakwambia patachimbika huko Kyela.
Unajua kyela inastahili kilichobora kuliko hivi Sasa.Mwakyembe amefeli Sana Hilo jimbo
 
View attachment 1506003

Uchunguzi wa awali unaonyesha kwamba Wanachama wengi wa Chadema wanawaamini wakina mama kutokana na msimamo wao thabiti wa kutetea chama chao, inaaminika wanaume wengi wanajiuza kwa bei chee.

Mifano ni mingi, James Millya, Joshua Nassari na Mwita Waitara wanawakilisha mamia ya waliojiuza.
Kweli wanawake wana msimamo sana
 
Huyo jamaa namfahamu, ni mpole mpole, mlokole flani hivi lakini ni mpenda haki sana balaa, hivyo akipitishwa na chama nakwambia patachimbika huko Kyela.
Mwanyamaki hajagombea ?

Nimeona kule Rungwe Mwambigija kapigwa chini na Sophia Mwakagenda
 
Back
Top Bottom