Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaratibu huo ya kukataa kauli ya wapiga kura una sura hasi ya kuvipasua Vyama, kasoro kwa Chama cha CCM pekee kwa sababu ya Demokrasia ya Mahabusu inayosimamiwa na POLISISIEM kwa yeyote atakayekiuka maauzi ya mwisho ya Mwenyekiti wa Chama Taifa.Makao Makuu si ndo wana maamuzi ya mwisho au huo utaratibu haupo tena.
Ndo ujue wizi wa Kura upo pia upinzaniHuyo aliyepata kura sifuri inamaana hata yeye mwenyewe hajajipigia kura?
Au utaratibu wa kura hizo wagombea hawakuruhusiwa kujipigia kura?
Emiliana kibatala ni dada wa kibatala au? By the way Nabii shillah kajitahidi pia kura 45 sio habaMpakwa mafuta wa Bwana Nabii Daniel Shilla ameshindwa kwenye kura za maoni za kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi ya CHADEMA. Amepata kura 45 huku mshindi wa kwanza akipata kura 107View attachment 1511423
Kwahiyo chama tawala huwa kuna wizi wa kura ?Ndo ujue wizi wa Kura upo pia upinzani
Awamu ijayo, sidhani kama kutakuwa na KUUNGA MKONO JUHUDI. Hakuta kuwa na fedha za kuchezea.Aisee,kama vipi akaunge mkono ' Juhudi' teh....
Paulina pekee ndiyo aliuza utu wake kwa upande wa wanawake, hata hivyo anapumlia mashine
PATAMU SANASusan Lyimo ameshinda katika Kura za Maoni za kumteua mgombea wa Chadema Jimbo la Kinondoni. Amepata kura 71 kati ya 113. Sawa na asilimia 62.8. Amewashinda Moza Ally (Makamo Mwenyekiti Bavicha), Rose Moshi diwani Viti Maalum na Mbezi Mwombeki
Ngoja tuone October ndio jibuAwamu ijayo, sidhani kama kutakuwa na KUUNGA MKONO JUHUDI. Hakuta kuwa na fedha za kuchezea.
Ngoja tuone October ndio jibuAwamu ijayo, sidhani kama kutakuwa na KUUNGA MKONO JUHUDI. Hakuta kuwa na fedha za kuchezea.
Alishaachiwa Kwan na Askari wa ccm au badoEmiliana kibatala ni dada wa kibatala au? By the way Nabii shillah kajitahidi pia kura 45 sio haba
Hapana!! Upo tu upinzani buana!!Kwahiyo chama tawala huwa kuna wizi wa kura ?
Kwa kuwa siyo waoga.wanawake wamechachamaa chadema wanabwaga wanaume kila kona