Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Huko sahihi.
Kwa kuwa yanga peke yake ndo walitakiwa wacheze ILA SIO Simba.
Yaani mnaonewa nyie tu
Si nlikua nmeandika maelezo yakukuelezea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nkaja kusoma hilo jina lako nmefuta yooote
Mkuu jioni njema
 
Screenshot_20210508-184705_WhatsApp.jpg
 
Jamani matangazo ya kuzindua kitabu cha Mzee Mwinyi ni siku nyingi sana kimetangazwa.
Hawa TFF hawakusikia au wizara haikujua kuwa nchi ipo kwenye tansion ya Yanga na Simba?
Tunaendesha mambo kienyeji sana. Wacha iwe hivyo ili siku ingine viongozi wajifunze
 
View attachment 1777519
View attachment 1777520
My Take
Kama TFF haikushirikisha timu zote ni wapumbavu wa kudumu. Kwa nini walipanga mechi saa 11 wakijua kuna changamoto

Updates
View attachment 1777682Yanga wamepasha wamesepa. Hawa wizara na TFF wamewatafutia sababu Utopolo
Kwa kuwa ni mara ya kwanza yanga wangevumilia lkn yanga wao wamefanya makosa mengi tff wameyavumilia sasa kosa la kwanza hili wangevumilia wakumbuke kuna kesho pia watakosea wao sheria ikisimama watalalamika sana
 
Back
Top Bottom