Yericko Nyerere umeua ndege wawili kwa jiwe moja

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .


Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
 
Yaan ckujua huyu bwana kama ni mpuuzi kiasi hiki mjinga sana afai haya kidogo hajui hata kusoma alama za nyakati unakuwa chawa mpka anapitiliza uchawa wenyewe unampigia Mbowe siasa zenyewe hajui alafu ndo unauza kitabu cha kushinda uchaguzi kwa 1.7 ml
 
Yaan ckujua huyu bwana kama ni mpuuzi kiasi hiki mjinga sana afai haya kidogo hajui hata kusoma alama za nyakati unakuwa chawa mpka anapitiliza uchawa wenyewe unampigia Mbowe siasa zenyewe hajui alafu ndo unauza kitabu cha kushinda uchaguzi kwa 1.7 ml
Yeye mwenyewe hajawahi kushinda hata unyekiti wa Kitongoji eti anakuuzia kitambu 1.7M ushinde ubunge na u-Rais.
 
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .


Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Mkuu nitag uzi wanaoulizia elimu ya yericko
 
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .


Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Haahaa wakati wa magu yeriko alijificha mashambani huko...
 
Back
Top Bottom