Yericko Nyerere umeua ndege wawili kwa jiwe moja
Yerico Nyerere ni business tycoon

 
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .


Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Teh teh teh
 
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .


Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Katika watu vilaza ni yeriko Nyerere, maandiko yake mengi yamejaa vitu vya kufikirika!!!

auongo uongo,
 
Simuonei huruma Yericko Nyerere kutukanwa hivi. Huu ndio utamaduni wa vijana wa Chadema na ndivyo walivyolelewa. Usipokubaliana nao LAZIMA wakutukane hadi uipate habari yako. Walianza na Zitto na Samson Mwigamba. Akafuatia Dk. Slaa (walimuitaga Dk. Mihogo). Wakafuata akina Dk. Mashinji, Sanari, Lijualikali, Katambi na wengine wengi. Baadae wakaja akina Halima Mdee na wenzake wakiitwa COVID 19.

Juzi kati ikawa zamu ya Mch. Msigwa. Sasa hivi ni zamu ya Mbowe, Sugu, Wenje, Yericko Nyerere na Boni Yai.

Nikutahadharishe Mropokaji na Mwehu Lissu HAUPO SALAMA. Zamu yako inakuja!
 
Ingawa simjui huyu Mdau wala Vitabu vyake sijawahi kuviona lakini sioni logic baina ya Elimu (Conventional / Formal Education) na Utunzi /Uandishi / Talent (Sababu inawezekana ukawa haujaingia darasani lakini kama unaweza kuunganisha sentensi na kufanya research basi unaweza kutoa kazi itakayopendwa) Hence kama mtu alinunua kabla na kufurahia hio Kazi leo kuchoma moto au kuacha kusoma hizo Hekaya sababu ya educational background ya mdau husika shows hao watu walikuwa mazuzu ab initio....
 
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .


Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Huyo kenge awezi kumiliki hata asilimia 1% ya akili.yangu ni mpumbavu tu kama dj
 
Yaan ckujua huyu bwana kama ni mpuuzi kiasi hiki mjinga sana afai haya kidogo hajui hata kusoma alama za nyakati unakuwa chawa mpka anapitiliza uchawa wenyewe unampigia Mbowe siasa zenyewe hajui alafu ndo unauza kitabu cha kushinda uchaguzi kwa 1.7 ml
duh kitabu cha kushinda uchaguzi ndy kitabu gani hicho content yake ni nini?

hv nyie wasomi mnaakili kweli?
 
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .
Ku

Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Ni wapumbavu pekee ambao walikuwa wanunua vitabu vya huyo jamaa kwanza ni mzee wa copy and paste,muongo muongo sana
 
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .


Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Hahaha......nimesoma mpaka mwisho nione ni Ndege gani.

Yerrick tapeli tu huyo
 
Yaan ckujua huyu bwana kama ni mpuuzi kiasi hiki mjinga sana afai haya kidogo hajui hata kusoma alama za nyakati unakuwa chawa mpka anapitiliza uchawa wenyewe unampigia Mbowe siasa zenyewe hajui alafu ndo unauza kitabu cha kushinda uchaguzi kwa 1.7 ml
The Road to Power......kumbe wanatuzuga tu. Vijana wetu wanatekwa na kuuawa wao wako kwenye paylist
 
Haahaa wakati wa magu yeriko alijificha mashambani huko...
Hakuna kujificha wala nini, wao na Magu team moja. Sema hatukuwagundua. Wana mbinu kali sana.

Anaweza kamatwa akalala Segerea hata wiki mkadhani ni mwenzenu kumbe kule segerea kwenye cell yake analala na net ya mbu na simu ana browse JFs, anakula supu asubuhi🤣🤣🤣
 
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .


Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Duuuuh, hatari sana
 
Hivi kwenye hivyo vitatu alikuwa anaandika nini?
Habari za pwagu na pwaguzi, pangu pakavu tia mchuzi na kumalizia alfu Lera ulera, asubuhi kitabu laki 5, jioni elfu 30. Mdau mmoja akauliza hivi huyu Yericko ni mtu wa namna gani hata bei za vitabu vyake hazijui, yeye kula siku ni mradi kimoja hata cha elfu tano. Soft copies hazipo labda bei ingekuwa tofauti pia.
Ndio hayo 🤪
 
Back
Top Bottom