LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
kamfukuze weweLissu lazima afukuzwe chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kamfukuze weweLissu lazima afukuzwe chadema
The young man is a conman for really!Hongera Sana Yericko Nyerere.
Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .
Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .
Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .
Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Kwani Ilimu yake Ina mushkheri gani tena jameni au namna gani!??Hongera Sana Yericko Nyerere.
Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .
Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .
Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .
Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Nilikuwa mteja wake kupitia kampuni ya YECKO walikula.hela yangu na hawakufanya kandarasi ya consultancy ya umeme....Hongera Sana Yericko Nyerere.
Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .
Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .
Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .
Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Aiwandaaaaa......Watu wameshamlipua tayari
Kumbe alipata zero form four
Alivyokuwa mjinga alikuwa anadai vyeti vya makonda
Tafadhali nitagiwe pia ..maana Hawa makanjanja hawatakiwi kotekote sio Kwa mbogamboga Wala kahawia .....Mkuu nitag uzi wanaoulizia elimu ya yericko
Tafadhali nitag ....... Hiii ni maajabuPoa yupo ndugu yake ambaye alimpokea hapa dar wanatoka kijiji kimoja ndo amemlipua na anajua shule zote alizosoma
Usaliti haujawahi kulipaHongera Sana Yericko Nyerere.
Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .
Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .
Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .
Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Atafukuza mboga mboga wote,na ukoo wake wote watajichimbia mapangoni kutoka tuu watatoka kwa hisani ya mwalimu wao wa darasa la sii hasaaa.Akichokonoa mapangoni wote mbio nje ya mapango yao.Lissu lazima afukuzwe chadema
Yericko ni jasusi mkubwa. Anapata info za ndani ndani kupitia intelligence cables.Yaan yerrico vitabu vyako muuzie Mbowe tu kwa ss utuambii kitu kumbe tapeli mzuri tu