Yericko Nyerere umeua ndege wawili kwa jiwe moja
Kuna jamaa alisema vitabu vya Yeriko anaangalia uzito wa kilo tu ila uzito wa maudhui hamna kitu😁
 
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .


Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
The young man is a conman for really!
 
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .


Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Kwani Ilimu yake Ina mushkheri gani tena jameni au namna gani!??
 
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .


Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Nilikuwa mteja wake kupitia kampuni ya YECKO walikula.hela yangu na hawakufanya kandarasi ya consultancy ya umeme....
 
Hongera Sana Yericko Nyerere.

Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .


Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .

Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .


Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Usaliti haujawahi kulipa
 
Lissu lazima afukuzwe chadema
Atafukuza mboga mboga wote,na ukoo wake wote watajichimbia mapangoni kutoka tuu watatoka kwa hisani ya mwalimu wao wa darasa la sii hasaaa.Akichokonoa mapangoni wote mbio nje ya mapango yao.
 
Kosa lako Yeriko ni kutoa vi clip vya Lissu alikichanganya changanya kwenye matamko yake ya awali na sasa - jamaa zake wamekununia.
 
Yaan yerrico vitabu vyako muuzie Mbowe tu kwa ss utuambii kitu kumbe tapeli mzuri tu
 
Back
Top Bottom