Yeye mwenyewe hajawahi kushinda hata unyekiti wa Kitongoji eti anakuuzia kitambu 1.7M ushinde ubunge na u-Rais.Yaan ckujua huyu bwana kama ni mpuuzi kiasi hiki mjinga sana afai haya kidogo hajui hata kusoma alama za nyakati unakuwa chawa mpka anapitiliza uchawa wenyewe unampigia Mbowe siasa zenyewe hajui alafu ndo unauza kitabu cha kushinda uchaguzi kwa 1.7 ml
Upuuzi tupuHivi kwenye hivyo vitatu alikuwa anaandika nini?
Atavuna aibu haswaWatu wameshamlipua tayari
Kumbe alipata zero form four
Alivyokuwa mjinga alikuwa anadai vyeti vya makonda
Aibu kwakeKabla ya kuanika hadharani ujinga wake nilikuwa nadhani ni mtu wa maana sana.
Sasa tumemjua kumbe haishi kwa kutegemea uandishi wa vitabu, bali anategemea uchawa kwa Mbowe.
Hatokaa asahauMatango pori alikuwa anokoteza mambo ya mitandaoni anapeleka wanatfsiri then anawauzia wajinga
Mkuu nitag uzi wanaoulizia elimu ya yerickoHongera Sana Yericko Nyerere.
Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .
Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .
Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .
Na Lissu akishinda Kazi unayo.
Haahaa wakati wa magu yeriko alijificha mashambani huko...Hongera Sana Yericko Nyerere.
Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo .
Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme .
Huu uchaguzi Mbowe anabidi akuingize katika payroll la sivyo utakufa njaa .
Na Lissu akishinda Kazi unayo.