Mkuu, tokea jana mwili unauma kweli Kichwa kinagonga kama Ngoma nasikia baridi sana wakati mwili wa moto hivi ndio corona wenyewe?Jogoo li..
Kanaani ipi tena au ni ile ya kuwatupa watu baharini?huwajui chadema wewe.
huoni wa kwanza kuuliza ni lissu!!!!
anyway rais ni mzima wa afya,si wa kufa kabla nchi haijapelekwa kanaani.
Mungu anasikiliza maombi ya wengi.Hizi kufuru Mungu anaziona kwa macho mawili.
Hivi nikisema indirect unaslewa lakini?taja hata wawili tu maana elfu kadhaa hutaweza.
Aisee kuna ukweli ndugu huenda ni mtawala wetu nyungu zimekataa.Fuatilia vyombo vya habari vya Kenya mkuu
Uchaguzi mkuu 2020.Wewe ulichukua sample ipi na kutoka wapi?
NTV sio ya Bongo, Wabongo mnataka kila kitu kizuli kiwe cha kwenuSio lazima kujibu kila tetesi, utajibu ngapi?
Wabongo kila siku wanastory mpya ukianza kujibizana nao utaishia kufanya kazi hiyo tu mwaka mzima.
Hata za nyati zimefichwa kwenye ngozi.
Daah! nilikua sitaki kabisa kuchangia uzi huu ila nimejikuta tu.
Maana unaambiwa kama huna uhakika ni
No comment
No like
No share
Ma ccm yaligonga meza Kessy aliposema zito auwawe, huzuni yao siyo huzuni yetu mkuki.Anapima upepo wa Twitter? JF? FB? Mbona tabu sana hiyo? Naona hata humu wanaolaumiwa kwa uzushi ni “wapinzani” ingawa hakuna kauli rasmi za vyama vya upinzani. Au nchi imejaa wapinzani undercover? Ni kama mapambano dhidi ya wasiojulikana haya [emoji848]
Asante na Mungu akubariki sana! Akulinde, akutunze akupe kuishi miaka mingi ili uyasimulie matendo makuu ya Mungu.[emoji15][emoji15]View attachment 1721485
Haijalishwi mara ngapi inazushwa...ni Rais yeye. Mnapima uzito wa jambo linalozushwa...Rais mwenyewe alishawahi kusema aliwahi kuugua akiwa waziri... Trump alipata corona, Boris Johnson aliugua na kulazwa..Rais ni wa nchi siyo wa Ikulu...wangetaka watu wasijue basi waache kutuambia mambo mwingine anayofanyaga....Kesho wakizusha Tena napo ikanushwe, kesho kutwa hivyohivyo. Sasa si watakuwa na kazi ya kuzusha tu. Nyie watu ni wajinga sana