Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Tunatishana Sana.
COVID 19 Tanzania Hakuna
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
huwajui chadema wewe.

huoni wa kwanza kuuliza ni lissu!!!!
anyway rais ni mzima wa afya,si wa kufa kabla nchi haijapelekwa kanaani.
Kanaani ipi tena au ni ile ya kuwatupa watu baharini?
FB_IMG_16145443981513009.jpg
FB_IMG_16145443981513009.jpg
 
Fuatilia vyombo vya habari vya Kenya mkuu
Aisee kuna ukweli ndugu huenda ni mtawala wetu nyungu zimekataa.

Unnamed East African leader admitted to Nairobi hospital​

The Independent March 10, 2021 AFRICA, COVID-19 Updates, The News Today Leave a comment


kAGS-IN-TZ.jpg
NO MASKS: This is when Uganda’s President Yoweri Museveni visited Tanzania in September. President Magufuli and his team have dismissed the use of masks. PHOTOS PPU
Nairobi, Kenya | THE INDEPENDENT | Kenya’s Daily Nation has today reported that an African leader is admitted at a Nairobi hospital, reportedly struggling to recover from COVID-19.
Nation does not identify the leader, who is said to be on a ventilator, but goes ahead to give details about the laissez-faire attitude Tanzania has taken in handling the COVID-19 pandemic. It also mentions that the leader was last seen in public, launching mega-projects two weeks ago.
 
Sio lazima kujibu kila tetesi, utajibu ngapi?

Wabongo kila siku wanastory mpya ukianza kujibizana nao utaishia kufanya kazi hiyo tu mwaka mzima.
NTV sio ya Bongo, Wabongo mnataka kila kitu kizuli kiwe cha kwenu
 
Hata za nyati zimefichwa kwenye ngozi.

Daah! nilikua sitaki kabisa kuchangia uzi huu ila nimejikuta tu.

Maana unaambiwa kama huna uhakika ni
No comment
No like
No share


Hakuna mnyama yeyote isipokuwa binadamu mwenye akili timanu ndiye anazo sehemu za siri. Full stop.

Mbwa, Ng'ombe, Nyati nk, hivyo viungo vyao vya uzazi na haja kubwa na ndogo viitwe sehemu za siri sehemu kwasababu gani??? Kuna usiri gani wakati wao siku zote wapo uchi (uchi wa mnyama), neno "Uchi wa mnyama" limetokea kwa hao wanyama jinsi wanavyoishi wakiwa uchi.

Mbona wanatembea uchi mbele ya watoto wao na kila mmoja anona jinsia za mmoja wao??!!🤣
 
Anapima upepo wa Twitter? JF? FB? Mbona tabu sana hiyo? Naona hata humu wanaolaumiwa kwa uzushi ni “wapinzani” ingawa hakuna kauli rasmi za vyama vya upinzani. Au nchi imejaa wapinzani undercover? Ni kama mapambano dhidi ya wasiojulikana haya [emoji848]
Ma ccm yaligonga meza Kessy aliposema zito auwawe, huzuni yao siyo huzuni yetu mkuki.
 
💯 mijitu ya humu jf inashabikia mtu afe hiyo ndio ile mijitu ambayo ilizoea kuteleza short pass halafu itoboe kimaisha kiulaini Sasa magu ameibana fedha kazipeleka kwenye maendeleo inalia Lia na magu.na semaje wewe ambae unashabikia mwenzako afe utatangulia wewe pumbaaff
 
Kesho wakizusha Tena napo ikanushwe, kesho kutwa hivyohivyo. Sasa si watakuwa na kazi ya kuzusha tu. Nyie watu ni wajinga sana
Haijalishwi mara ngapi inazushwa...ni Rais yeye. Mnapima uzito wa jambo linalozushwa...Rais mwenyewe alishawahi kusema aliwahi kuugua akiwa waziri... Trump alipata corona, Boris Johnson aliugua na kulazwa..Rais ni wa nchi siyo wa Ikulu...wangetaka watu wasijue basi waache kutuambia mambo mwingine anayofanyaga....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom