Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Katika pitapita zangu mitaani leo nimepita sehemu mbili za vijiwe ambazo ni garage na sokoni sitasema zllipo. Sehemu zote mbili nimekuta mabishano mazito kuhusu wapi alipo rais na hali yake ya kiafya. Mabishano yamekuwa makali kiasi cha kukaribia kushikana. Kwa bahati mbaya ubishi wenyewe una mwelekeo wa kisiasa.

Ombi langu kwa serikali yangu pendwa iliyowekwa madarakani kwa kura za wananchi ijitokeze hadharani watu wakate hii kiu waliyo nayo ya kutaka kujua alipo rais wao na hali yake. Waziri mkuu, mkuu wa mkoa Mbeya na balozi wetu Namibia wote wanejaribu kujibu maswali hayo lakini majibu yao siyo rasmi ndiyo maana vyombo vya habari hususan vya nje bado vinaendelea kuuliza.

Jibu rahisi ambalo lingezima kelele zote hizi ni kwa rais kujitokeza na angalau kuwasalimia wananchi kama tulivyozoea kumwona.
Hao wanaokamatwa kwa uzushi ni katika kujaribu kujibu haya maswali. Wanaotoa majibu mitandaoni ni rahisi kuwafutilia na labda kuwanyamazisha je hao wa mitaani na vijiweni ambao ni wengi zaidi wanafuatiliwaje na kudhibitiwaje?
 
Yaani Tundu lissu, Mnyika, salum mwalim, Gwarugwa plus Faru John utegemee kupata taarifa reliable kweli du chadema majanga matupu. Hongera Halima &co kwa kujitambua, hata hivyo mmepoteza muda wenu sana huko
 
Raia wamewekwa korokoroni kwa kile kilichoitwa 'uzushi' na uzushi huu uliletwa na ukimya wa serikali.

Kwanini? Kwasababu tuliaminishwa kuwa haumwi na wengine wakaenda mbali kwa kusema 'wameongea kwenye simu' na wengine wakasema 'anatusalimia'

Hamkutoa taarifa za kuugua lakini mmetoa taarifa za msiba, hii siyo sawa.
 
Hatimaye Bwana Umemuita kwa mapenzi Yako
Jina lako lihimidiwe.
 
Yaani una maana hospitali kubwa kama KNH inakataa kupokea wagonjwa kwa sababu yupo Magufuli! Yaani huo ni uongo kupita kiasi. Mtamuombea ugonjwa mtaugua nyie, mtamuombea kifo mwishjo mtakufa nyie. Acheni uzushi na chuki!
🙄🙄🙄
 
Yaani Tundu lissu, Mnyika, salum mwalim, Gwarugwa plus Faru John utegemee kupata taarifa reliable kweli du chadema majanga matupu. Hongera Halima &co kwa kujitambua, hata hivyo mmepoteza muda wenu sana huko
🙄🙄🙄
 
Olushangiliaga, ogaluka hangi obiza okunombela nang'ho hangi ihaha?
Wapinzani wa bongo raha sana,ukiwakuta wanavyolalamika sasa mara sijui wanauliwa mara vile mara vile. Ila hao watu wenyewe sasa wanaolalamika ndio kwanza wapo busy kuzushia watu maradhi na vifo yani ndio mambo ya msingi kwao.
1
 
😆😆😆
 
Wapinzani wa bongo raha sana,ukiwakuta wanavyolalamika sasa mara sijui wanauliwa mara vile mara vile. Ila hao watu wenyewe sasa wanaolalamika ndio kwanza wapo busy kuzushia watu maradhi na vifo yani ndio mambo ya msingi kwao.
Wapinzani raha, wanazusha eeh, wanasingizia eeh, haya MATAGA
 
Wapinzani raha, wanazusha eeh, wanasingizia eeh, haya MATAGA
Ndio mkuu wapinzani wako busy na kuzushia watu maradhi na vifo, wangapi wamezushiwa vifo ila bado tunawaona hai? wangapi wamezushiwa maradhi ila tunawaona wazima?

Huyo Magufuli alizushiwa kachanjwa chanjo ya corona ila alipofariki wao wao tena wanazusha kafa kwa corona. Tuna wapinzani wa hovyo wasio na msaada wowote kwenye taifa ni wapenda umbeya wa kisiasa tu.
 

ukiwa mfuasi wa upinzani bongo inabidi uwe na tundu kichwan na uwe tayar kubadilika mda wowote, yaaani mabosi wanaweza kuamka wakasema lowasa sio fisadi tena na wale praise team wakaendeleza ngoma
 
sasa walimzushia MBOWE nao ni CUF?
 
Mzee habari yako
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…