Zambia: Hakainde Hichilema atangazwa mshindi wa Urais

Zambia: Hakainde Hichilema atangazwa mshindi wa Urais

Unaweza kujifurahisha kwa kutafuta sababu za kukufanya ujisikiea vizuri hata kama sababu hizo siyo za kweli. Hata kama Katiba yetu ina mapungufu, mtu mwenye akili timamu hawezi kukubali kuwa:

(1) Mwaka 1995 Mrema alimshinda Mkapa ila tume ikabadili matokeo ilihali CCM ilivuna wabunge zaidi ya robo tatu ya bunge zima na viti vya udiwani zaidi ya asilimia 85 vilichukuliwa na CCM. (Kampeini hii mimi nilishiriki sana nikiwa NCCR-Mageuzi, lakini data zilitusuta tukanyamaza)
(2) Mwaka 2000 Lipumba alimshinda Mkapa ila tume ikabadili matokeo ilihali CCM ilivuna wabunge zaidi ya robo tatu ya bunge zima na viti vya udiwani zaidi ya asilimia 85 vilichukuliwa na CCM.
(3) Mwaka 2005 Mbowe alimshinda Kikwete ila tume ikabadili matokeo ilihali CCM ilivuna wabunge zaidi ya robo tatu ya bunge zima na viti vya udiwani zaidi ya asilimia 85 vilichukuliwa na CCM.
(4) Mwaka 2010 Slaa alimshinda Kikwete ila tume ikabadili matokeo ilihali CCM ilivuna wabunge zaidi ya nusu ya bunge zima na viti vya udiwani zaidi ya asilimia 75 vilichukuliwa na CCM.
(5) Mwaka 2015 Lowassa alimshinda Magufuli ila tume ikabadili matokeo ilihali CCM ilivuna wabunge zaidi ya nusu ya bunge zima na viti vya udiwani zaidi ya asilimia 70 vilichukuliwa na CCM.
(6) Mwaka 2020 Tundu Lissu alimshinda Magufuli ila tume ikabadili matoke ilihali CCM ilivuna wabunge zaidi ya asilimia tisini na tisa ya bunge zima na viti vya udiwani zaidi ya asilimia 99 vilichukuliwa na CCM.

Vyama vyote vya upinzani Tanzania havijui kuendesha siasa, ila vinajua sana kulalamikia tume. Siasa zinaanzia kwenye grassroots, huwezi kupata kura za watu wasiokufahamu; vyama vya upinzani viko kwenye maeneo fulani ya nchi tu. Havikusambaa nchi nzima na kwa muundo huo usitegemee kuwa vitakuja kushinda kiti cha uraisi bila kubadili mbinu kuwafikia wapiga kura kwa karibu.

Kujiaminisha kuwa wagombea wa uraisi huwa wanabadalishiwa matokeo na tume ya uchguzi ni uwongo usiokuwa na msingi wowote. Mbona kuna waliokuwa wabunge wengi wa upinzani walikuwa wanashinda viti vyao na hawakuilalamikia tume kuwa imefanya upendeleo. Mbowe amekuwa mbunge wa Hai kwa miaka 15 ukiachia kipindi alichogombea uraisi, Zitto pia amekuwa mbunge kwa miaka 15 mfululizo kwa sababu wanatoka majimbo ambayo vyama vyao vimejiimarisha.
Mzee una chuki binafsi tu, kweli huelewi kwanini ni rahisi upinzani kushinda Urais kuliko bunge?

Zanzibar ina majimbo 50 ila kura za Urais hazizidi 500,000 lakini Dar Es Salaam ina majimbo 12 ina kura zaidi ya million 2. So unaweza ona jinsi urban votes huwa zinaubeba upinzani. Kwa mahesabu tu ukiweza kushinda urban centers zote Tanzania unapewa Urais asubuhi tu licha ya votes za maporini. Mfano jimbo la Mbagala lina kura zaidi ya laki 2 lakini majimbo ya kondoa huko mtu anashinda kwa kura elfu 15!!

Hata Raila odinga huwa anashinda Mombasa Nairobi na Kisumu.... Kwisha habari ndio maana licha ya kina uhuru kuzoa kura maporini huko unakuta hazitoshi mtu anaambulia 50% na anapewa Urais!! Same to Chamisa au Bobi wine ni urban votes tu hakuna uchawi mwingine.

Unadai wabunge wa upinzani wanashindaga..... Mkuu hta huyo Zitto 2010 bila intervention ya JK jimbo lilikua limeenda. Mie nilikua Ujiji pale CHADEMA tulishinda ubunge ila CCM wakadai kura zirudiwe kuhesabiwaeeh bwana eeh kura ziliongezeka ghafla na matokeo yakapinduliwa. Zitto muda huo yupo kaskazini naye upepo umemgeuka kaokolewa kwa directive ya JK otherwise angekua nje ya bunge toka 2010. Hakuna mpinzani analala nyumbani siku ya uchaguzi afu aamke atangazwe mshindi wote wanakesha na kuvutana mashati na polisi hadi mabomu yapigwe ndio anatangazwa.

Kma Mkapa mwenyewe anakiri tume huru ndio suluhu alafu ww unadai wapinzani wana baseless claims then utakua una chuki binafsi tu.
 
Vyama vyote vya upinzani Tanzania havijui kuendesha siasa, ila vinajua sana kulalamikia tume. Siasa zinaanzia kwenye grassroots, huwezi kupata kura za watu wasiokufahamu; vyama vya upinzani viko kwenye maeneo fulani ya nchi tu.
Hapana hapa sio kweli toka CHADEMA ni msingi ianze (Maana walau kimetapakaa zaidi) Hakuna kata haijafikiwa nchi hii na kwa takwimu za Serikali za mitaa 2014 utaona CCM iliambulia mitaa 60% pekee (Plus mapingamizi yaliyopelekea kupita bila kupingww) toka 99% ya 2009. Sasa kma mitaa 40% iliwapa upinzani na ni 2014 unadhani miaka 7 baadae yaani 2021 hyo mitaa na vijiji haviifaham upinzani??

Sahivi kuna mitandao na Tv kila kona huhitaji physical presence ndio watu wakujue.... Mimi nimeenda remote areas sana za nchi hii wana uelewa na mambo yanayoendelea duniani kuliko enzi zenu za 95 walipotegemea Radio Tanzania. So Hta Mbowe akitoa statement trust me hta kule kwetu Nyarubanda au Matyazo watapata habari ndani ya dakika 10.

Ukitaka kuprove hilo angalia kampeni za lissu mkoani muitikio wake...... kuna majimbo ya CHADEMA yanayoratibu grassroots ndio maana licha ya figisu za CCM, CHADEMA bado ilisimamisha wagombea vijiji na mitaa zaidi ya 95% huku bara. Kma sio kuenguliwa na tume kutokua huru nadhani tungepata jibu kamili la grassroot.
 
Anajiita baba wa demokrasi USA ,mbona kila siku kuna malalamiko?Demokrasi ya marekani ina popular vote na vote za watu 550 wenye kuchagua Rais na mwelekeo wa nchi.Si kila MTU mpaka muuza maandazi anachagua Rais kama Africa. Nafikiria democracy za kiafrika ni kusaidia watu wasio na kazi nao pia waibe na familia zao.Naipenda China.Kila MTU akafanye kazi. Sio kina Heche hawana kazi,wanawaza kuwa wabunge.Utopolo mtupu.
Marekani malalamiko?? Si mahakama zipo na zilikubali hadi kura zirudiwe kuhesabiwa na kma huridhiki una haki ya kupinga mahakamani!! Huwezi linganisha na Afrika kwa lolote lile hku hta kupinga mahakamani hairuhusiwi.

Unadai wanachagua watu 550!! Mbona hta sauzi huo mfumo upo mnapigia kura chama sio mtu then mwenye wabunge wengi ndio anachagua Rais na wabunge wake. Ina maana watu mnapiga kura indirectly na ndio maana mara zote anayeshinda kwa kura za raia anashinda na electoral college votes. Na mfumo uliwekwa ili majimbo yenye kura nyingi yasiburuze majimbo madogo maana ule ni muungano!!

Msipotoshe USA yupo mbali sana kidemokrasia kuliki hapa..... ulisikia Trumo kamtumia biden majeshi yamuweke ndani?? Au polisi wavamia ofisi za Democrats na kupora nyaraka??
 
Usiku wa leo mda wa saa 0200, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa nchi hiyo amtangaza Mpinzani wa Chama cha UNDP kuwa Rais wa nchi baada ya kushinda Kwa kura 2.8m akimuacha Rais Edga Lungu wa PF kwa kura kama 1M. VivA Zambia!


======

View attachment 1893970
Hichilema is popularly referred to by his initials 'HH' or Bally (slang for dad)

Zambian opposition candidate Hakainde Hichilema won Zambia's presidential election, defeating incumbent Edwar Lungu, the southern African nation's election commissionannounced early on Monday.

Hichilema secured more than 2.8 million votes, while Lungu was in second place with over 1.8 million votes in the vote held last Thursday. Hichilema, 59, had been leading in exit polls and preliminary election results released throughout the weekend.

Now, Hichilema faces the daunting task of turning around the economic fortunes of debt-laden Zambia.

Zambia, a copper-rich nation, defaulted on a $42.5 million sovereign debt payment in November.

Zambian voters look for change

Rising costs of living and the impact of the pandemic had led to frustration with Lungu's rule. He had been in office since 2015.

Voters were also concerned about rising costs of living and crackdowns on dissent. Young Zambian's often complain of a lack of opportunity.

World Bank sounds alarm over developing world's debt

A former business tycoon who entered politics, Hichilema, ran for the presidency for the sixth time this year. The 2021 election was his first victory, after he campaign was able to take advantage of dissatisfaction over Lungu's handling of the economy.

During one of his final campaign speeches, Hichilema said, "It hurts to see citizens go to bed without food in such a country," adding that Zambia's rich natural resources have not translated to well-being for the population.

"Assets worth billions of dollars are yielding nothing... to better our lives," he said.

Lungu says election was 'unfair'

Hichilema has challenged Lungu three times previously for the presidency.

Lungu had cried foul before a winner was declared, claiming the elections were neither free nor fair due to alleged acts of violence at polling stations. He would have to approach Zambia's Constitutional Court within a week to formally lodge a complaint.

Hichilema's victory comes with the backing of ten opposition parties under the banner of United Party for National Development (UPND), the largest opposition party.

Source: DW
God bless Zambia
 
Mzee una chuki binafsi tu, kweli huelewi kwanini ni rahisi upinzani kushinda Urais kuliko bunge?

Zanzibar ina majimbo 50 ila kura za Urais hazizidi 500,000 lakini Dar Es Salaam ina majimbo 12 ina kura zaidi ya million 2. So unaweza ona jinsi urban votes huwa zinaubeba upinzani. Kwa mahesabu tu ukiweza kushinda urban centers zote Tanzania unapewa Urais asubuhi tu licha ya votes za maporini. Mfano jimbo la Mbagala lina kura zaidi ya laki 2 lakini majimbo ya kondoa huko mtu anashinda kwa kura elfu 15!!

Hata Raila odinga huwa anashinda Mombasa Nairobi na Kisumu.... Kwisha habari ndio maana licha ya kina uhuru kuzoa kura maporini huko unakuta hazitoshi mtu anaambulia 50% na anapewa Urais!! Same to Chamisa au Bobi wine ni urban votes tu hakuna uchawi mwingine.

Unadai wabunge wa upinzani wanashindaga..... Mkuu hta huyo Zitto 2010 bila intervention ya JK jimbo lilikua limeenda. Mie nilikua Ujiji pale CHADEMA tulishinda ubunge ila CCM wakadai kura zirudiwe kuhesabiwaeeh bwana eeh kura ziliongezeka ghafla na matokeo yakapinduliwa. Zitto muda huo yupo kaskazini naye upepo umemgeuka kaokolewa kwa directive ya JK otherwise angekua nje ya bunge toka 2010. Hakuna mpinzani analala nyumbani siku ya uchaguzi afu aamke atangazwe mshindi wote wanakesha na kuvutana mashati na polisi hadi mabomu yapigwe ndio anatangazwa.

Kma Mkapa mwenyewe anakiri tume huru ndio suluhu alafu ww unadai wapinzani wana baseless claims then utakua una chuki binafsi tu.
Hapa umeandika blah blah nyingi kufurahisha moyo wako tu; hamna lolote - ni pumba tupu

Mkapa hakusema kuwa tume ya uchaguzi ya sasa huipendelea CCM, bali alisema kuwapo kwa tume itakayoonekana huru kutasaidia kupunguza vurugu zitokananzo na uchaguzi. Wewe ni mmoja wa wanaosoma habari kwa kuungaunga maneno kufurahisha moyo wako tu.
 
Duh...!. Hii ya jirani zetu Zambia kali!. Najua kuna Watanzania wengi na haswa wapinzani na wapenda mabadiliko, watafurahia matokeo ya Zambia kwa imani na matumaini kuwa hiki kilichotokea Zambia, "if it can happen in Zambia, then one day it can also happen in Tanzania". Naomba niwaandae kisaikolojia, "Zambia is Zambia na Tanzania is Tanzania" Kwa Tanzania, CCM itatawala mile...!, naomba nisimalizie.
P
 
Siyo mara ya kwanza mgombea wa upinzani kushinda. Hata hapa imetokea mara kadhaa wagombea wa ubunge na udiwani kutoka upinzani wakatangazwa kushinda. Tatizo kwetu ni kuwa wapinzani wanaposhindwa kiti cha urais basi wanalalamikia tume hata kama namba haziwasapoti kabisa
Hiki ndiyo chama cha Kaunda kilichotawala miaka 27,wapinzani wakakitoa naona wamekirudisha tena ,waliokuwa wapinzani wake wameshindwa kuivusha ZAMBIA 🇿🇲
 
Duh...!. Hii ya jirani zetu Zambia kali!. Najua kuna Watanzania wengi na haswa wapinzani na wapenda mabadiliko, watafurahia matokeo ya Zambia kwa imani na matumaini kuwa hiki kilichotokea Zambia, "if it can happen in Zambia, then one day it can also happen in Tanzania". Naomba niwaandae kisaikolojia, "Zambia is Zambia na Tanzania is Tanzania" Kwa Tanzania, CCM itatawala mile...!, naomba nisimalizie.
P
Sidhani kama kuna jipya, ila ni funzo baada ya wapinzani kukiondoa chama cha Kaunda, now kimerudi tena.....so wapinzani wameshindwa kuivusha nchi
 
Hapa umeandika blah blah nyingi kufurahisha moyo wako tu; hamna lolote - ni pumba tupu

Mkapa hakusema kuwa tume ya uchaguzi ya sasa huipendelea CCM, bali alisema kuwapo kwa tume itakayoonekana huru kutasaidia kupunguza vurugu zitokananzo na uchaguzi. Wewe ni mmoja wa wanaosoma habari kwa kuungaunga maneno kufurahisha moyo wako tu.
Jibu facts mzee sio kweli urban votes zinabeba upinzani? Sio kweli Dar ilimpa lowassa zaidi ya kura million 2 ilihali Dar UKAWA ilipata majimbo 9 tu Dar.

Hivi hujiulizi ilikuwaje CUF ilipata wabunge zaidi ya majimbo 20 ile 2010 ila CHADEMA iliyopata majimbo 27 pekee ilipata viti maalum zaidi ya 25 hku CUF ikiambulia chini ya 5??? Meaning ukishinda kwenye majimbo makubwa ya mjini unapata kura nyingi cumulative kuliko ushinde majimbo 20 kwenye pool ya kura laki 2!!

CHADEMA mbunge 1 2020 ila viti maalum 19.... CUF mbunge 1 na ACT wabunge 5 ila viti maalim 0??? Hujiulizi why??

We mzee toka upotoshe JPM yupo hai hauna credibility ya kuwa fact finder zaidi ya mzee wa speculation tu.
 
Hiki ndiyo chama cha Kaunda kilichotawala miaka 27,wapinzani wakakitoa naona wamekirudisha tena ,waliokuwa wapinzani wake wameshindwa kuivusha ZAMBIA 🇿🇲
Hapana.

Chama cha Kaunda kilikuwa kinaitwa UNIP; kiongozi wa UNIP kwenye uchaguzi alikuwa Askofu Mwamba na wala hakupata kura nyingi.
 
Jibu facts mzee sio kweli urban votes zinabeba upinzani? Sio kweli Dar ilimpa lowassa zaidi ya kura million 2 ilihali Dar UKAWA ilipata majimbo 9 tu Dar.

Hivi hujiulizi ilikuwaje CUF ilipata wabunge zaidi ya majimbo 20 ile 2010 ila CHADEMA iliyopata majimbo 27 pekee ilipata viti maalum zaidi ya 25 hku CUF ikiambulia chini ya 5??? Meaning ukishinda kwenye majimbo makubwa ya mjini unapata kura nyingi cumulative kuliko ushinde majimbo 20 kwenye pool ya kura laki 2!!

CHADEMA mbunge 1 2020 ila viti maalum 19.... CUF mbunge 1 na ACT wabunge 5 ila viti maalim 0??? Hujiulizi why??

We mzee toka upotoshe JPM yupo hai hauna credibility ya kuwa fact finder zaidi ya mzee wa speculation tu.

Kwa sababu hujui mahesabu ya kura za uchaguzi, upo unabwabwaja tu kutafuta huruma. Yaani hata huji katiba inasemaje kuhusu viti maalumu vya ubunge.
 
Kwa sababu hujui mahesabu ya kura za uchaguzi, upo unabwabwaja tu kutafuta huruma. Yaani hata huji katiba inasemaje kuhusu viti maalumu vya ubunge.
Sio katiba viti maalum ni kura za ubunge tu, tena inatumika D'Hondt method of proportion kwa thresholds ya 5%. Hivyo chama kikivuka overall kura za ubunge 5% inakuwa eligible kupata allocation ya viti maalum based on % ya kura ilizopata vis a vis za washindani wake.

Sasa hao ACT au CUF hawakufika hapo.... Ina maana hata CHADEMA ikiwa runner up majimbo yote bara na ikakosa mbunge wa jimboni bado ina safety net ya wabunge wa viti maalum walau 20!!

Sasa ndio hoja najengea owa hesabu hizo kuwa kura cumulative ndio zinaipa nguvu upinzani kuliko namba za jimbo moja moja. Kura za Mdee tu pale Kawe ni sawa na majimbo 5 ya Dodoma!! Upgrade your maths!!


Get real
 
Unaweza kujifurahisha kwa kutafuta sababu za kukufanya ujisikiea vizuri hata kama sababu hizo siyo za kweli. Hata kama Katiba yetu ina mapungufu, mtu mwenye akili timamu hawezi kukubali kuwa:

(1) Mwaka 1995 Mrema alimshinda Mkapa ila tume ikabadili matokeo ilihali CCM ilivuna wabunge zaidi ya robo tatu ya bunge zima na viti vya udiwani zaidi ya asilimia 85 vilichukuliwa na CCM. (Kampeini hii mimi nilishiriki sana nikiwa NCCR-Mageuzi, lakini data zilitusuta tukanyamaza)
(2) Mwaka 2000 Lipumba alimshinda Mkapa ila tume ikabadili matokeo ilihali CCM ilivuna wabunge zaidi ya robo tatu ya bunge zima na viti vya udiwani zaidi ya asilimia 85 vilichukuliwa na CCM.
(3) Mwaka 2005 Mbowe alimshinda Kikwete ila tume ikabadili matokeo ilihali CCM ilivuna wabunge zaidi ya robo tatu ya bunge zima na viti vya udiwani zaidi ya asilimia 85 vilichukuliwa na CCM.
(4) Mwaka 2010 Slaa alimshinda Kikwete ila tume ikabadili matokeo ilihali CCM ilivuna wabunge zaidi ya nusu ya bunge zima na viti vya udiwani zaidi ya asilimia 75 vilichukuliwa na CCM.
(5) Mwaka 2015 Lowassa alimshinda Magufuli ila tume ikabadili matokeo ilihali CCM ilivuna wabunge zaidi ya nusu ya bunge zima na viti vya udiwani zaidi ya asilimia 70 vilichukuliwa na CCM.
(6) Mwaka 2020 Tundu Lissu alimshinda Magufuli ila tume ikabadili matoke ilihali CCM ilivuna wabunge zaidi ya asilimia tisini na tisa ya bunge zima na viti vya udiwani zaidi ya asilimia 99 vilichukuliwa na CCM.

Vyama vyote vya upinzani Tanzania havijui kuendesha siasa, ila vinajua sana kulalamikia tume. Siasa zinaanzia kwenye grassroots, huwezi kupata kura za watu wasiokufahamu; vyama vya upinzani viko kwenye maeneo fulani ya nchi tu. Havikusambaa nchi nzima na kwa muundo huo usitegemee kuwa vitakuja kushinda kiti cha uraisi bila kubadili mbinu kuwafikia wapiga kura kwa karibu.

Kujiaminisha kuwa wagombea wa uraisi huwa wanabadalishiwa matokeo na tume ya uchguzi ni uwongo usiokuwa na msingi wowote. Mbona kuna waliokuwa wabunge wengi wa upinzani walikuwa wanashinda viti vyao na hawakuilalamikia tume kuwa imefanya upendeleo. Mbowe amekuwa mbunge wa Hai kwa miaka 15 ukiachia kipindi alichogombea uraisi, Zitto pia amekuwa mbunge kwa miaka 15 mfululizo kwa sababu wanatoka majimbo ambayo vyama vyao vimejiimarisha
 
Usiku wa leo mda wa saa 0200, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa nchi hiyo amtangaza Mpinzani wa Chama cha UNDP kuwa Rais wa nchi baada ya kushinda Kwa kura 2.8m akimuacha Rais Edga Lungu wa PF kwa kura kama 1M. VivA Zambia!


======

View attachment 1893970
Hichilema is popularly referred to by his initials 'HH' or Bally (slang for dad)

Zambian opposition candidate Hakainde Hichilema won Zambia's presidential election, defeating incumbent Edwar Lungu, the southern African nation's election commissionannounced early on Monday.

Hichilema secured more than 2.8 million votes, while Lungu was in second place with over 1.8 million votes in the vote held last Thursday. Hichilema, 59, had been leading in exit polls and preliminary election results released throughout the weekend.

Now, Hichilema faces the daunting task of turning around the economic fortunes of debt-laden Zambia.

Zambia, a copper-rich nation, defaulted on a $42.5 million sovereign debt payment in November.

Zambian voters look for change

Rising costs of living and the impact of the pandemic had led to frustration with Lungu's rule. He had been in office since 2015.

Voters were also concerned about rising costs of living and crackdowns on dissent. Young Zambian's often complain of a lack of opportunity.

World Bank sounds alarm over developing world's debt

A former business tycoon who entered politics, Hichilema, ran for the presidency for the sixth time this year. The 2021 election was his first victory, after he campaign was able to take advantage of dissatisfaction over Lungu's handling of the economy.

During one of his final campaign speeches, Hichilema said, "It hurts to see citizens go to bed without food in such a country," adding that Zambia's rich natural resources have not translated to well-being for the population.

"Assets worth billions of dollars are yielding nothing... to better our lives," he said.

Lungu says election was 'unfair'

Hichilema has challenged Lungu three times previously for the presidency.

Lungu had cried foul before a winner was declared, claiming the elections were neither free nor fair due to alleged acts of violence at polling stations. He would have to approach Zambia's Constitutional Court within a week to formally lodge a complaint.

Hichilema's victory comes with the backing of ten opposition parties under the banner of United Party for National Development (UPND), the largest opposition party.

Source: DW
Tume za uchaguzi zikiwa huru
Usiku wa leo mda wa saa 0200, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi wa nchi hiyo amtangaza Mpinzani wa Chama cha UNDP kuwa Rais wa nchi baada ya kushinda Kwa kura 2.8m akimuacha Rais Edga Lungu wa PF kwa kura kama 1M. VivA Zambia!


======

View attachment 1893970
Hichilema is popularly referred to by his initials 'HH' or Bally (slang for dad)

Zambian opposition candidate Hakainde Hichilema won Zambia's presidential election, defeating incumbent Edwar Lungu, the southern African nation's election commissionannounced early on Monday.

Hichilema secured more than 2.8 million votes, while Lungu was in second place with over 1.8 million votes in the vote held last Thursday. Hichilema, 59, had been leading in exit polls and preliminary election results released throughout the weekend.

Now, Hichilema faces the daunting task of turning around the economic fortunes of debt-laden Zambia.

Zambia, a copper-rich nation, defaulted on a $42.5 million sovereign debt payment in November.

Zambian voters look for change

Rising costs of living and the impact of the pandemic had led to frustration with Lungu's rule. He had been in office since 2015.

Voters were also concerned about rising costs of living and crackdowns on dissent. Young Zambian's often complain of a lack of opportunity.

World Bank sounds alarm over developing world's debt

A former business tycoon who entered politics, Hichilema, ran for the presidency for the sixth time this year. The 2021 election was his first victory, after he campaign was able to take advantage of dissatisfaction over Lungu's handling of the economy.

During one of his final campaign speeches, Hichilema said, "It hurts to see citizens go to bed without food in such a country," adding that Zambia's rich natural resources have not translated to well-being for the population.

"Assets worth billions of dollars are yielding nothing... to better our lives," he said.

Lungu says election was 'unfair'

Hichilema has challenged Lungu three times previously for the presidency.

Lungu had cried foul before a winner was declared, claiming the elections were neither free nor fair due to alleged acts of violence at polling stations. He would have to approach Zambia's Constitutional Court within a week to formally lodge a complaint.

Hichilema's victory comes with the backing of ten opposition parties under the banner of United Party for National Development (UPND), the largest opposition party.

Source: DW
Tume ya uchaguzi ikiwa huru ni raha sana. Hongera kwa Rais aliyeshinda.
 
Back
Top Bottom