Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
We unajua na ardhi ni yao ! kama unabisha sio yao leta ushahidi .Huwa haipo hivyo. Unatakiwa uwe makini kutetea hoja yako na siyo kuja na majibu ya mkato ya sentensi moja. Kama na wewe hujui basi minya
Mlisema Ngosha hafai kuongoza nchi, Watz bhana! Wanashangaa ya Musa alafu wakiona ya Firauni wanaanza kulalama... hahahaaa...Wanataka kuuziana nchi kinyemela. Hatukubali.
Ndio jibu gani hili sasa mkuu?
Hivi wazungu kumiliki ardhi kunahalalishaje wazanzibar kuchota ardhi ya Tanganyika kibabe?We unajua na ardhi ni yao ! kama unabisha sio yao leta ushahidi .
Na bado wapp wazungu wana miliki ardhi kubwa na hakuna kitu utafanya.
Hivi Korea Kusini inaweza kuchukuwa ardhi ya Korea Kaskazini kwa kigezo cha kuwa wameungana kwa majina yao yaani Korea?ardhi ni ya kwao au si ya kwao?hio ndio hoja ya kujadiliwa
Waziri wa ardhi ajitokeze aufafanulie uma wa watanganyika inawezekanaje? Zanzibar imiliki ardhi Tanganyika?Leo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.
Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.
======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.
Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.
😅😅😅Si ndo yale yale ! tatizo lipo wapi?Hivi wazungu kumiliki ardhi kunahalalishaje wazanzibar kuchota ardhi ya Tanganyika kibabe?
Sasa mkuu kuna siku atakuja kutokea Rais kama Magufuli atafuta umiliki, wala usiogope na msije kumuita Dikteta tena.Sishangai, kwa sababu Nchi ina Raia wapumbavu haijawahi tokea, kutwa nzima ni Yanga na Simba unategemea nini? Yaani watu ni Yanga na Simba huku watawala wakiineemeka na keki ya ncni
Sina hakika kama Mirembe inakuhusu? Lakini tunaheshimu uhuru na haki yako kikatiba kutoa maoni.Serikali ya China inamiliki ardhi kubwa tu USA kwahiyo sishangai.. umiliki wa ardhi Tanzania si kwa mtu/taasisi yoyote? kama sheria zenu wa kumiliki ardhi ni dhaifu hata Somalia itakuja kununua ardhi huku.
Kwa hiyo ukikamatwa umeiba mali ya mtu kibabe ukafikishwa mahakamani utajitetea eti MBONA WIZI UPO TANGU ENZI NA ENZI? Utakwenda jela mapema sana aisee! Ni bora hata ukae kimya kuliko kutoa utetezi wa kitoto kama huo mkuu.😅😅😅Si ndo yale yale ! tatizo lipo wapi?
So wazungu sawa ila wazanzibar hapana
duuh hiyo analogy! wamiliki halali wapewe haki yao.walaumu viongozi wako sio mimi.Hivi Korea Kusini inaweza kuchukuwa ardhi ya Korea Kaskazini kwa kigezo cha kuwa wameungana kwa majina yao yaani Korea?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Na kwa kuongezea point yako mkuu, ni kuwa watakuwa marais wangapi wenye mamlaka ktk ardhi moja?Kwani Tanzania ni USA? Tanzania ardhi yote ni mali ya Rais. Usilete habari za China
tulikuwa ma-roommate milembe. mnakimbiliaga matusi tu.. lakini mmiliki halali atapewa haki yake.Sina hakika kama Mirembe inakuhusu? Lakini tunaheshimu uhuru na haki yako kikatiba kutoa maoni.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Ishu je wanamiliki kwa uhalali ? sio mara Zanzibar hizi ni chuki.Kwa hiyo ukikamatwa umeiba mali ya mtu kibabe ukafikishwa mahakamani utajitetea eti MBONA WIZI UPO TANGU ENZI NA ENZI? Utakwenda jela mapema sana aisee! Ni bora hata ukae kimya kuliko kutoa utetezi wa kitoto kama huo mkuu.
Hawana uhalali wowote wa kumiliki ile ardhi zaidi ya kutumia ubabe tu!Ishu je wanamiliki kwa uhalali ? sio mara Zanzibar hizi ni chuki.
1. SMZ ilipewa umilikaji wa muda gani?Ranchi of Zanzibar Bagamoyo
http://https//jamii.app/JFUserGuide › inde...JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Hapana shaka kuwa kutakuwa na maoni na mawazo anuai juu ya masuala mbalimbali yanayojadiliwa katika Jukwaa hili. Washiriki hawatarajiwi kukubaliana na kila jambo linalojadiliwa! Kwa msingi huo, ili kudumisha mijadala yenye heshima, ubunifu na ushiriki kamilifu, taratibu zifuatazo zimewekwa ili...jamii.app
Je wajua kuwa Zanzibar inamiliki Hectare 28000 Tanganyika? Sasa ...
9 Apr 2014 · 11 posts · 9 authors
Eneo hilo lipo Bagamoyo na mipaka yake ni Mto Ruvu, barabara ya Msata, reli ya Tanga, mto Wami na bahari ya Hindi. SMZ walipewa
09-04-2014, 12:26
Kuna kitu ambacho naamini watu wengi hawajui. Hivi mnafahamu kuwa serikali ya mapinduzi Zanzibar inamiliki zaidi Hectare 28,000 Tanganyika? Unaweza kuendesha gari yako bila kuvuka maji na ukaingia Zanzibar?
SMZ walipewa zawadi eneo hilo na mwalimu Julius Nyerere ili kurahisisha upatikanaji wa nyama Zanzibar. Eneo lilitengwa kwa matumizi ya Ranchi na linaitwa Ranch of Zanzibar Bagamoyo (RAZABA)
@ Copyright reserved
Thecitizen.co.tz
https://www.thecitizen.co.tz › national
Dar land sharks target key deal in Bagamoyo
22 Apr 2021 — ... and handed the lease of occupancy for the 24,000-hectare former Ranch of Zanzibar in Bagamoyo (Razaba) to
More info :
RANCH OF ZANZIBAR BAGAMOYO abandoned by the Government of Zanzibar in 1994.
Bagamoyo EcoEnergy Project (BEE) has entered into a joint venture partnership with the Tanzanian Government and has been provided with 24,000HA of land by the GoT on the western part of the Ranchi ya Zanzibar (RAZABA ) area in Bagamoyo District Tanzania, which was abandoned by the Government of Zanzibar in 1994. The intention is to develop a green field sugar cane plantation on approximately 7800HA of land ...
Source : Tanzania - Bagamoyo Sugar Project - Executive RAP Summary