Zanzibar: Hekta 6,000 zilizopo Bagamoyo ni mali yetu
Sasa si mjitenge au mpaka kwanza mpore ardhi ya Tanganyika, tena kiulani bila kumwaga jasho, ndipo mjitenge? Ukijitenga na Tanganyika una uwezo wa kushindia urojo na madafu au unajitutumua bure kama chura aliyebanwa na mlango?
Mimi sio mzanzibar ila punguza chuki we mwanaume.!!
 
Wazanzibar ni watu wa ajabu sana. Nchi yao ni ndogo lakini kila siku tunasikia rais wao akiuza visiwa kwa mabeberu na ardhi inazidi kupungua. Amemaliza kuuza nchi yake kwa mabeberu sasa anakuja kupora ardhi ya Tanganyika. Huu ni uchokozi usiokubalika.
Hakuna uporaji wowote hapo....hata raia binafsi na makampuni ya kigeni humiliki ardhi Tz kihalali tu.
 
Leo nimekutana na clip ya Chars Hilary akiongea akitanabaisha kuwa kuna hekta elf 6 wilayani Bagamoyo ni mali ya serikali ya Zanzibar na mtu kutoka bara haruhusiwi kufanya shughuli za aina yoyote ndani ya ardhi hiyo kwani sio mali ya serikali ya Tanzania bara.

Jambo hili limenisikitisha sana and sijajua inakuwaje wazanzibari wawe na ardhi yao Tanganyika wakati mtanganyika ukifika Zanzibar ni sawa umeenda Kenya tu.

======
Msemaji wa Serikali ya Zanzibari, Charles Hillary amesema Shamba la Zaba lililoko Makurunge wilayani Bagamoyo ni mali ya Serikali ya Zanzibar hakuna mtu anayeruhusiwa kufanya shughuli yoyote eneo hilo.

Msemaji amesema Zanzibar imemiliki eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 6000 tangu mwaka 1977. Na amesema yoyete atakayeuziwa eneo katika ardhi hiyo hatalipwa fidia.

Mnashindwa tu kutofautisha kati ya property na territory. Watu kwenye mitandao wanaongelea as if hiyo ni territory. It is just a property of SMZ not territory.
 
Dola ya Zanzibar ilikuwa kubwa imetapakaa hadi kwa Wangwana ndani ya Congo kabla wabelgiji hawajawapora.

Hiyo ramani ni ya wakoloni wa ulaya ila ya ukweli ikiyosababisha vita kati ya dola kubwa ya Zanzibar na Ubelgiji ndani kabisa ya iliyo sasa DR Congo simulizi yake ipo hadi katika Makumbusho ya Brussels Belgium na Berlin Germany ni hii hapa chini:

DOLA KUBWA YA ZANZIBAR 1800


Wakati Zanzibar ikiwa dola kubwa 1882 ilikuwa na wafanyabishara waliojipenyeza kibiashara, kijasusi, kijeshi mpaka Manyema DR Congo hadi bahari ya Atlantic Congo Brazaville na Angola.

Zanzibar kuwa Taifa kubwa la kibiashara muda huo Ikasababisha vita ya kijeshi na Ubelgiji. Vita 1892 / 1894 WHKMLA : History of the Belgo-Arab War, 1892-1894 ambayo ilichagizwa kwa ukubwa kuhusu maslahi ya kiuchumi hivyo majeshi ya kibelgiji ya King Leopold yaliyokuwa Congo na majeshi ya Dola Kubwa ya Zanzibar chini ya mwana wa Tippu Tip yaliyokuwa huko Congo yakisindikiza biashara maeneo hayo ya Afrika ya Kati kupambana.


Turuke / fast forward 2022 hii Dola Kubwa ya Sultani iliongozwa na nani ? Kwanini ikaitwa vita baina ya waBelge na WaArabu ? Je pande hizi mbili zilizopigana vita, zote siyo za kikoloni ambazo zinapigania masilahi yao ?

Between 1892 and 1894 the Force Publique of King Leopold II’s Congo Free State engaged in a series of little-known counter-insurgency operations against ivory and slave traders from Zanzibar, commonly referred to as Arabs. Without a particularly strong tradition of imperial service, this article argues that the predominantly Belgian officer corps borrowed and adapted methods used by more experienced colonial forces in the 19th Century. Whether taken from existing literature or learned through experience, it reveals that the Force Publique’s counter-insurgency methods reflected many of the more recognisable aspects of traditional French and British approaches. It suggests that, despite the unique nature of each colonial campaign, basic principles could be adapted by whomsoever to overcome the military and political challenges of colonial conquest. The Force Publique’s campaigns in the Congo-Arab War, therefore, provide further evidence as to how some base theories could be universally applied.
Usijiokotee vihoja uchwara unakuja kutujazia uchafu humu JF ili ututoe kwenye reli. Tetea hoja kwa ushahidi kuntu, acha poroja na hadithi za Alfu Lela Ulela. Hazitakusaidia chochote.
 
wewe ndio kichwa chako kimejaa funza. sasa inakuwaje badala wa wizara ya ardhi kutoa hilo tangazo anakuja kutoa mtu toka nchi za nje? kama wao ni nchi kweli.
Zanzibar ni sehemu ya jamhuri ya muungano ya Tanzania.
 
Hiyo sehemu siyo sehemu ya kisiwa chao bali wamemilikishwa ardhi hiyo kama walivyomilikishwa ardhi watu wengine kwa ajili ya shamba,kujenga nyumba au kiwanda na mbona kuna taasisi nyingi tu za kutoka nje kabisa ya nchi wamemilikishwa ardhi kwa ajili ya shughuli zao na sijasikia kelele!
Mkuu two wrongs cannot make one wright. Kwa hiyo unataka kuhalalisha uvamizi na uporaji wa ardhi ya Tanganyika halafu watanganyika watalima au kujenga wapi? Kuwa mzalendo hata kidogo tu basi.
 
Mkuu acha kutetea ukengeufu. Usitutolee mifano mfu. Serikali ya Zanzibar imeishauza visiwa vyote kwa mabeberu. Kama wana uchungu na ardhi kwanini wauze ardhi yao halafu waje kupora ardhi ya Tanganyika? Kuwa mzalendo kwa taifa lako, acha mawazo ya kitumwa.
Hiyo chuki ndio naiongelea, beberu ni mtu gani? Ufinyu wako waakili ndio unakufanya ubaki hapo ulipo na upeo mdogo wakufikiria. Wewe ulitaka Dunia iweje? Kwamba watu wabaki walipo wasitafute fursa nje ya maeneo Zaidi ya kwao.

Nani kapora ardhi? Kwa sheria uliotunga wewe Wao wamepora ardhi lakini kwa sheria ya Tanzania Wao wanamiliki ardhi

We kaa kijiweni endelea kuropoka ropoka maana inaonesha ndio kitu ulichifanikiwa zaidi kwenye maisha yako. Itabaki kuwa zanzibar(Watanzania wenzetu) wanamiliki ardhi bara. Na nikumize zaidi hawakunua wamepewa, [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

We sogeza tendegu kama utapewa hata mguu moja wa ardhi.

Kama analalamika umiliki usingeanzia na Serikali ya zanzibar. Kuna makumpuni mengi mengi sana yana mmiliki ardhi kubwa kuliko hiyo ya SMZ.

We endelea kutunga sheria zako.
 
Inaweza isiwe leo wala Kesho ila namna Zanzibar wanavyobehave kwenye huu Muungano wanachochea, Nationalism ideologies kwa upande wa bara( ambayo ni mbaya).
 
Ardhi yetu kwani wanaibeba wanaenda nayo wapi? Kama walipewa kihalali na wamefata sheria, tatizo nini?
Usitetee upumbavu wewe ushakuwa mkubwa sasa una wajukuu. Umeambiwa mtu akipora ardhi sharti aondoke nayo? Kama hawajaondoka nayo mbona sasa wanawazuia watanganyika kuitumia? Unataka watanganyika wakalime/kujenga wapi? Kama nawe umeenda shule basi hizi shule hazina maana yoyote, bora zivunjwe tuache kusoma.
 
Muungano wa hovyo kuwahi kutokea, haumnufaishi mtanganyika kwa lolote zaidi ya kuwapendelea wazanzibari tu.
 
kule visiwani Tanzania bara wanamiliki ardhi gani? tuanzie hapo
Hawaruhu sio kumiliki tu ardhi bali hata kuoa.......watanganyika wanazuiwa hadi kuoa wazanzibar. Ikibainika mtanganyika kaoa Zanzibar unaweza hata ukatwe makende yote. Huu upuuzi sasa basi.
 
Screenshot_20230601-144911.png

Tunakoelekea
 
No!, it's the other way round, muungano utaimarika!, tutashare the cost ya kurun muungano, kwa sasa kuna punda mmoja tuu ndie anamenyeka, halafu mwingine, anakula tuu sushi!.
P
Na ndipo palipo na njia ya kuvunjika, kama wameshindwa kulipa deni la umeme ndio wataweza kulipa ghalama za kuendesha muungano
 
Mnashindwa tu kutofautisha kati ya property na territory. Watu kwenye mitandao wanaongelea as if hiyo ni territory. It is just a property of SMZ not territory.
Kesho watakuja wamarekani watasema ni marufuku kukanyaga ngorongoro sijui tutasemaje
 
kama wewe ni mbara, utakuwa huna marinda. nenda tu zenji kaishi na machoko wenzio.

Kwahiyo mmoja akifanya kosa basi wote wamefanya!! So, huku kwetu ni kusafi kwa maana hakuna ufirauni!! Acha kujitoa ufahamu
 
Back
Top Bottom