Zanzibar: Hekta 6,000 zilizopo Bagamoyo ni mali yetu
Hiyo chuki ndio naiongelea, beberu ni mtu gani? Ufinyu wako waakili ndio unakufanya ubaki hapo ulipo na upeo mdogo wakufikiria. Wewe ulitaka Dunia iweje? Kwamba watu wabaki walipo wasitafute fursa nje ya maeneo Zaidi ya kwao.
Mtanganyika anaweza kumiliki ardhi Zanzibar? Labda tuanzie hapo.
 
Mtanganyika anaweza kumiliki ardhi Zanzibar? Labda tuanzie hapo.
Wanamilikishwa wengi tu, lakini Sina hakika kama wewe unaweza milikishwa [emoji1787][emoji1787] , sio wa tanganyika tu hadi mabeberu (kama unavyowaita) tembea ujifunze.
 
hivi inakuwaje, kama wao ni nchi, suala linalohusu ardhi yetu, litolewe taarifa na mtu wa nchi za nje, tena anatishia kuwa watakaoingilia ardhi watashughulikiwa, ana maana ataanzisha vita? wameshiba urojo hawa.
Ni dharau kubwa sn kwetu wabara, muungano fake huu uvunjwe haraka
 
Siku nikiona nina makosa nakimbilia eneo hilo, polisi kunikamata siitabidi aangaike kuomba vibali huko Zanzibar.
 
kwa kawaida, charles hilary kama kweli anaamini zanzibar ni nchi, hakutakiwa kuongea chochote, icho alichoongea ilipaswa kuongea wizara ya ardhi tanzania. kuongea ukiwa nje ya nchi maana yake unawapiga mkwara kuanzia wizara, nchi hadi raia wake. mbona nimewadharau sana.
 
Hujasikia tanesco kasamehe billion kadhaa deni la mdaiwa serikali ya mapinduzi Zanzibar lakini sababu hawajatuambia hapohapo unaambiwa shirika linaenda kukopa matirion
 
Mambo ya kawaida kabisa nchi na nchi kupeana eneo la ardhi.

Rasi ya Kaliningrad ipo mbali na Russia lakini inajulikana kama ni eneo lake baada ya mikataba / treaty kusainiwa...
Rudi ukasome history ujue ni kwa nini Lesotho ilikuwa nchi. Na kwanini Kaliningrad ipo Urusi.
 
Na bado huwezi kuoa mzanzibari, dah
Wazanzibari wenyewe hawataki kuoa hao ndugu zao, kisa na mkasa hawana misandambwa, hawajui kupika vizuri, wavivu na hawajui kukaa na mume.

Wanaume wa kizenji wanaojielewa wanavuka maji na kukimbia fasta hapo Tabora, Shy na kushuka na mzigo unaojua kutunza mume.

Wa kwao wanaolewa na vijana wasiojua aeiou!.
 
Mbona hilo eneo lipo miaka mingi tu. Ukiwa unaelekea bagamoyo sugar pale njiani kuna bango kubwa. Ni maeneo ya tafiti mbali mbali kama sijakosea.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Hujasikia tanesco kasamehe billion kadhaa deni la mdaiwa serikali ya mapinduzi Zanzibar lakini sababu hawajatuambia hapohapo unaambiwa shirika linaenda kukopa matirion
yaani bara tunakatiwa umeme tusipolipa, visiwani wanasamehewa deni la umeme, hayo madeni wawe wanaandika siku kikinuka tusione mtu ananyoosha mdomo wake mrefu kusema chochote.
 
Hawa watu wameona tunawabembeleza Sana , Sasa wameamua kuanza kuchungulia nyuchi za baba zao. ngoja tuone tuliyempa mamlaka atalisemeaje hili!
 
Back
Top Bottom