Tembea uoneMtanganyika anaweza kumiliki ardhi Zaznzibar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembea uoneMtanganyika anaweza kumiliki ardhi Zaznzibar?
🤣🤣Kama hili lina ukweli huenda likawa kivutio cha utalii..
Mtanganyika anaweza kumiliki ardhi Zanzibar? Labda tuanzie hapo.Hiyo chuki ndio naiongelea, beberu ni mtu gani? Ufinyu wako waakili ndio unakufanya ubaki hapo ulipo na upeo mdogo wakufikiria. Wewe ulitaka Dunia iweje? Kwamba watu wabaki walipo wasitafute fursa nje ya maeneo Zaidi ya kwao.
Huku ndiko tunakoelekea ndugu Mwalimu maana hawa jamaa wanaoshindia urojo na madafu wameishaifanya Tanganyika kama shamba la bibi yao.View attachment 2642448
Tunakoelekea
Wanamilikishwa wengi tu, lakini Sina hakika kama wewe unaweza milikishwa [emoji1787][emoji1787] , sio wa tanganyika tu hadi mabeberu (kama unavyowaita) tembea ujifunze.Mtanganyika anaweza kumiliki ardhi Zanzibar? Labda tuanzie hapo.
Kwa hiyyo ilikuwa ndoa. Mzee amefariki mirathi inasema amepewa kwa maandishi.na kwanini wapewe ardhi wakati sisi kwao hatupewi ardhi? hivi huu mzigo wa muungano tutautua lini?
Uvunjwe harakaMuungano hauna faida yoyote zaidi ya kuwanyonya watanganyika. Leo hii tukiamua kuvunja muungano wazanzibar watakufa njaa kwa kushindia urojo na madafu.
Ni dharau kubwa sn kwetu wabara, muungano fake huu uvunjwe harakahivi inakuwaje, kama wao ni nchi, suala linalohusu ardhi yetu, litolewe taarifa na mtu wa nchi za nje, tena anatishia kuwa watakaoingilia ardhi watashughulikiwa, ana maana ataanzisha vita? wameshiba urojo hawa.
Rudi ukasome history ujue ni kwa nini Lesotho ilikuwa nchi. Na kwanini Kaliningrad ipo Urusi.Mambo ya kawaida kabisa nchi na nchi kupeana eneo la ardhi.
Rasi ya Kaliningrad ipo mbali na Russia lakini inajulikana kama ni eneo lake baada ya mikataba / treaty kusainiwa...
Wazanzibari wenyewe hawataki kuoa hao ndugu zao, kisa na mkasa hawana misandambwa, hawajui kupika vizuri, wavivu na hawajui kukaa na mume.Na bado huwezi kuoa mzanzibari, dah
yaani bara tunakatiwa umeme tusipolipa, visiwani wanasamehewa deni la umeme, hayo madeni wawe wanaandika siku kikinuka tusione mtu ananyoosha mdomo wake mrefu kusema chochote.Hujasikia tanesco kasamehe billion kadhaa deni la mdaiwa serikali ya mapinduzi Zanzibar lakini sababu hawajatuambia hapohapo unaambiwa shirika linaenda kukopa matirion
Cc TANESCOyaani bara tunakatiwa umeme tusipolipa, visiwani wanasamehewa deni la umeme, hayo madeni wawe wanaandika siku kikinuka tusione mtu ananyoosha mdomo wake mrefu kusema chochote.
KhaaaaaaaWazanzibari wenyewe hawataki kuoa hao ndugu zao, kisa na mkasa hawana misandambwa, hawajui kupika vizuri, wavivu na hawajui kukaa na mume...
namimi nakazia waiome hii comment TANESCOyaani bara tunakatiwa umeme tusipolipa, visiwani wanasamehewa deni la umeme, hayo madeni wawe wanaandika siku kikinuka tusione mtu ananyoosha mdomo wake mrefu kusema chochote.
Wengi wanamilikishwa, wameanzisha mahoteli ya kitalii. Wewe tu ndio huwezi pewaMtanganyika anaweza kumiliki ardhi Zanzibar? Labda tuanzie hapo.