Nimependa..umempa dongo la j3 asbh kuwaza mapenzi,ila umempa na ushauri wa jambo lake.Jumatatu asubuhi hii unawaza mapenzi.. Kweli umependa mkuu.
5000 or 10000, tafuta kitu kitachoishi muda mrefu kama nguo simple simple au accessories kama bracelets au hereni maana zipo za bei hiyo, nzuri tu.
Pia thamani ya kitu ni kutokana na hisia za mtu juu yako. Kama hupendwi hata ujihangaishe vipi ataona haujafanya kitu so, kama una uhakika yupo sawa na wewe. Chochote utachompelekea atakifurahia based na uwezo wako wa kipato.
afu ni jina la zamani balaa..ππHuna? We wakuniita mimi kisokolokwinyo kweli π
ah wapi...una udugu na roma mkatoliki?
π€£π€£π€£π€£Laaahaulaa! Shida madem wengi wa kibongo hawajui tofauti ya zawadi na kumsaidia kutatua tatizo, kwa bajeti ya huyo janja sijui kama ataeleweka kwa hawa kina mankaWaende karanga
Asee mnakariri sana , nani aliyekuambia ni Manka? Nyie watu bwanaπ€£π€£π€£π€£Laaahaulaa! Shida madem wengi wa kibongo hawajui tofauti ya zawadi na kumsaidia kutatua tatizo, kwa bajeti ya huyo janja sijui kama ataeleweka kwa hawa kina manka
Kipindi gn weru weru pana joto na hamna mvua? Usiangalie hali ya hewa ya Moshi mjini kuelezea kuleNa mvua hizi kweli mkuu? Labda kule chemka japo hali kule napo sijui ipoje kwa sasa
Tunaopenda tupoβ¦ karne hii sio kama ile ya enzi za TANU πππalituma picha za kuchora..nikamjibu hivyo
π kujua maana ya zawadi kunasaidia sana. Wengi hawajuiπ€£π€£π€£π€£Laaahaulaa! Shida madem wengi wa kibongo hawajui tofauti ya zawadi na kumsaidia kutatua tatizo, kwa bajeti ya huyo janja sijui kama ataeleweka kwa hawa kina manka
Sasa mbona unapenda mauaah wapi...
ππππSasa mbona unapenda maua
Ndio maana nikakwambia nawewe pia kama ni jina zuri ili litubariki soteπafu ni jina la zamani balaa..ππ
Au unawapenda nyuki πππππ
napenda tu maua ..natural...lolAu unawapenda nyuki π
nilichekq baalaa...usimharibu mwenzakk mind yake bwanaNdio maana nikakwambia nawewe pia kama ni jina zuri ili litubariki soteπ