Ziara ya Rais Samia: Watanzania waishio Marekani waandamana kudai Katiba Mpya

Lost opportunity. Angesimama na kuongea nao ili athibitishie ulimwengu kuwa ni muumini wa uhuru wa kutoa mawazo kama sehemu ya demokrasia. Aidha, ingekuwa ishara kuwa yeye ni tofauti na waliomtangulia.

Amandla....
Kukaa mno ugenini hayo pia ni madhara na doa kwa Amiri jeshi mkuu.
Siku nyingine pangeni ratiba za kipresidential
 
Kama ni hivyo, mbona raisi anahangaika kuongelea mambo ya Tanzania huko Marekani?
 
Safi sana diaspora, mawaziri Mwigulu Nchemba, Pindi Chana na maofisa wengine wa serikali wameona kwa macho yao wenyewe mabango na sauti za kudai katiba mpya.

Pongezi kwa diaspora kwa kuwakilisha wananchi wengi wanaoandamana ndani ya mioyo yao kudai katiba hapa JF, mitandaoni na ktk makongamano ya ndani.
 
Kesho katika taasisi tajwa ya the Wilson Center , mheshimiwa Rais atakuwepo kujibu masuala mbalimbali yanayohusu uchumi, siasa, demokrasia, afya, elimu Tanzania




Upcoming schedule for

Monday
April 25, 2022
11:00am – 11:45am ET

A New Day for U.S.-Tanzania Relations: A Conversation with H.E. Samia Suluhu Hassan, President of the Republic of Tanzania​


A Conversation with H.E. Samia Suluhu Hassan, President of the Republic of Tanzania. President Samia will share her vision for Tanzania and U.S.-Tanzania relations, and sit in conversation with Ambassador Mark Green, President and CEO of the Wilson Center and former U.S. Ambassador to Tanzania from 2007-2009, to discuss key challenges and opportunities for the future of U.S.-Tanzania relations in various spheres.

The Africa Program works to address the most critical issues facing Africa and U.S.-Africa relations, build mutually beneficial U.S.-Africa relations, and enhance knowledge and understanding about Africa in the United States. The Program achieves its mission through in-depth research and analyses, including our Africa Up Close blog, public discussion, working groups, and briefings that bring together policymakers, practitioners, and subject matter experts to analyze and offer practical options for tackling key challenges in Africa and in U.S.-Africa relations.

source : Africa Program
 
24 April 2022
Washington DC
Marekani

RAIS SAMIA ATIMUA MBIO KUWAKWEPA WATANZANIA MAREKANI


Source : TanAfrika TV
 
Kama ni hivyo, mbona raisi anahangaika kuongelea mambo ya Tanzania huko Marekani?
Rais ameenda kuzungumzia international trade; kwa kunadi fursa zetu za utalii na uwekezaji vitu ambavyo ni tofauti na political sovereignty. 🙏🙏🙏
 
Kikundi cha watu 10..hata hawana athari kabisa
Wewe unataka athari gani? Ya kuteka na kupoteza watu? Wao wanafikisha ujumbe, wewe unataka athari (sijui ni hasi au chanya).
 

..hiyo ilikuwa ni bonge ya FURSA kwa Maza ila ameshindwa kuitumia.


..Maza alitakiwa apite mbele ya hao waandamanaji na asome mabango na hata kuteta nao kidogo.

..angefanya hivyo hata mabeberu nao wangeunga mkono kwamba Maza anaupiga mwingi kwamba ana uvumilivu wa kisiasa.

..kitendo cha Maza kupitia mlango wa uani kilikuwa na ushauri mbaya. Uani kuna mambo mengi, Maza angeweza kupata ajali.
 
Kukaa mno ugenini hayo pia ni madhara na doa kwa Amiri jeshi mkuu.
Siku nyingine pangeni ratiba za kipresidential
Ratiba za kipresidential ndio zikoje na zinahusika vipi kwenye hili?

Amandla...
 
Hili jambo ni muendelezo wa kutaka ushindi wa asilimia 100 katika kila jambo. Kwa imani hiyo utajiaminisha kuwa hakuna raia wenzako wenye mawazo tofauti na yako yanayostahili kusikilizwa!

Amandla...
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…