mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kabla ya hapo walipangishiwa watu walikuwa wanaifanya hospitalZitto hiyo Makao.makuu yako ilikuwa nyumba Ya Marehemu Maalim Seif. Lipumba aka mpora enzi za JPM. Hizi zama za mama na wewe Zitto ume mpora Lipumba. Ume paka Rangi za ACT tu. Huja jenga.
Jengo ya Makao makuu Dar (Taz Bara) akati huku huna Mbunge hata 1??
Kwani Chadema umeona jitihada gani wanazozifanya. Lisu na Lema wamekimbilia Ulaya baada ya kukosa Ubunge, karibuni watarudi ili muwapogie kura tena.sioni jitiada zozote wanazozifanya kutaka kuikomboa tz kutoka kwa mkoloni mweusi
Mahubili na uhamasishaji wao unatosha sana kutitia hamasa na kutufungua akili. Sioni kitu chochote kinachofanywa na ACT zaidi ya kuludisha nyuma jitiahada zinazofanya na wapinzani wa kweli na wenye uchungu wa nchi hii na maono mema yanayofanywa na chademaKwani Chadema umeona jitihada gani wanazozifanya. Lisu na Lema wamekimbilia Ulaya baada ya kukosa Ubunge, karibuni watarudi ili muwapogie kura tena.
Usibishane na rofa, ukiangalia komenti nyingi hapo juu utaelewa waTZ wanavyo jiakisi...
Kama wamenunua au kukodi?? Achana na taarifa za kusikia bali tafuta ukweliShobo zote hizo kumbe jengo wamepangisha. Jengo ni mali ya marehemu Seif sharif Hamad
Kama umeshika madaraka na bajeti na mahela ya walipa kodi utaweza yatumia kuleta maendeleo?Kwa hiyo shule zinajengwa na hela za chama?
Chadema hawana ata radio lakini mwenyekiti anayo na ameipata akiwa madarakani...Kwa hiyo shule zinajengwa na hela za chama?
Hizi zile songambele za kujitolea zimekaaje kaaje na michango michango yakujenga SHULEZitto mbona analeta siasa za maji taka? Jukumu namba moja la serikali ni lazima watoe huduma za jamii ikiwemo maji ,shule ,barabara ,hospital etc ilo sio ombi ni lazima hata serikalini ingeongozwa na "MATONYA" maana kuna Bunge ndio linalowakilisha wananchi na kuisimamia serikali kutekeleza matakwa ya wananchi.
Mengine yote sawa lkn kwenye unyonyaji hopo. Hebu fafanuawanyonyaji
Zitto na Chama chako mnafahamika kuwa nyie ni vibaraka wa wanyonyaji na hamna nia ya kuwasaidia wanyonge. Mpo tu ili kuzuga na kujaza matumbo yenu.
Chama chenu ni islamic brotherhood of Tanzania and Zanzibar.
Kujenga ofisi huku hamkubaliki kwa wananchi ni ubatili mtupu. Maana hamna mtachoambulia.
Baba kuwa na kitambi si kiashiria kuwa watoto wana afya bora. Kujenga ofisi ya makao makuu ilhali huna ofisi za vijiji, wilaya/majimbo na mikoa, si suala la kutolea kauli za kujitapa kama vile una akili sana. Ni sawa na baba mlevi anayeweza kunywa bia kreti nzima bar ilhali nyumbani hajaacha kitu.Hii ni kupigana midongo ya nguvu
"Kama hatuwezi kujenga Ofisi yetu wenyewe, tutaweza kujenga mashule ya watoto wetu kusoma na Vituo vya Afya vya kina mama zetu kujifungua kwa stara? Tutaweza kupambana na janga la umasikini wa watu wetu na kutengeneza uchumi unaozalisha ajira kwa vijana wetu?"
👇
View attachment 2402599
Nafikiri wanaamini kuwa hatujuiMbona hata ccm hawana hata ofisi moja waliyojenga kwa fedha zao! Karibia ofisi zote zilijengwa na Nyerere kwa kutumia kodi zetu, enzi za mfumo wa chama kimoja.
Hata kama Chadema wanafanya kazi chini ya mti bado ndo chama makini na kinapendwa na wapenda haki wengi.Hivyo acheni kjisumbua.Cha ajabu cdm haitupii madongo vyama vya upinzani maamuluki wataka kupanda ngazi kupitia mgongo was cdm;hamtawezaHii ni kupigana midongo ya nguvu
"Kama hatuwezi kujenga Ofisi yetu wenyewe, tutaweza kujenga mashule ya watoto wetu kusoma na Vituo vya Afya vya kina mama zetu kujifungua kwa stara? Tutaweza kupambana na janga la umasikini wa watu wetu na kutengeneza uchumi unaozalisha ajira kwa vijana wetu?"
[emoji116]
View attachment 2402599
Wewe ni msaliti unayetumika kama gogo la chooni tu! Hata ukijifanya una busara tu wewe ni mfuniko wa mavi ya ccm! ref. Ulikuwa snitch wa upinzani, kwa jakaya, \ulishindwa kwa magu, sasa umerudia kazi yako wewe ni SNITCH period! Katiba mpya hadi baada ya 2025 by the notorius snitch ZZKHii ni kupigana midongo ya nguvu
"Kama hatuwezi kujenga Ofisi yetu wenyewe, tutaweza kujenga mashule ya watoto wetu kusoma na Vituo vya Afya vya kina mama zetu kujifungua kwa stara? Tutaweza kupambana na janga la umasikini wa watu wetu na kutengeneza uchumi unaozalisha ajira kwa vijana wetu?"
👇
View attachment 2402599
Hii ni kupigana midongo ya nguvu
"Kama hatuwezi kujenga Ofisi yetu wenyewe, tutaweza kujenga mashule ya watoto wetu kusoma na Vituo vya Afya vya kina mama zetu kujifungua kwa stara? Tutaweza kupambana na janga la umasikini wa watu wetu na kutengeneza uchumi unaozalisha ajira kwa vijana wetu?"
👇
View attachment 2402599