Uchaguzi 2020 Zitto: Kura yangu nafasi ya Urais nitampigia Tundu Lissu (CHADEMA)

Duuuh
 
Kifupi Lissu mwenyewe kapitea njia alitakiwa yeye na CHADEMA wajiunge CUF huko CHADEMA walikoenda siko .Mark my words muda umebaki kidogo siku 9 tu hawawezi Chadema rekebisha makosa too late ila wamechemka .CCM Zanzibar tunashinda mapema mno na Lisu ataachwa njia panda atamwona Seif huyooo anapeta na miluzi barabarani wakikumbatiana na Mwinyi na Magufuli
 
Endeleeni kupiga domo.mimi kama mwanachama hai wa ACT na wenzangu kura ya urais ni kwa Tundu Mughwai Lissu
 
[emoji3577]
 
Wazalendo maslahi tunaenda kuwakataa rasmi siku sii nyingi.oct 28.
 
Tunaangalia maslahi ya Taifa. Membe katumwa na CCM kutuvuruga afadhali zitto kamshtukia.
Kwani tofauti ya Zitto ,Membe na Maalim Seif Ni Nini?

Lisu karibu kwenye mdomo wa mamba tukutane October 28 Zimebaki siku Tisa za kampeni no reverse gear for Chadema

Too late
 
Hata Membe naye atangaze kumpigia kura Lissu mapema asisubiri lala salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…