Zumaridi asichukuliwe kimasihara, imani ni kitu kikubwa sana inahuisha na imani inaua Watanzania tuamke


Mwenyewe unaona umeandikaaaaa
Kumbe hata wewe mwenyewe huelewi umeandika nini🤣
 

Zamani watu kama hao tulikuwa tunawaita "MENTO" .

Madaktari mtibieni huyo Zumaridi ana matatizo ya Afya ya akili ,Mental Health is real.
 
La DP WORLD Unataka kulimalizaje☺, labda uweke wazi kama inafaa tushirikiane
Ndugu yangu wewe hujaona juhudi? Tumeanza na Kitila kwanza tuone kama atatuvusha.......hahaha
 
We endelea kumwamini mungu wako wakike ambae anabanduliwa

1 WAFALME 11:33
kwa sababu wameniacha mimi wakaabudu Ashtorethi, mungu mke wa Wasidoni, na Kemoshi, mungu wa Wamoabi, na Milkomu, mungu wa wana wa Amoni wala hawakuenda katika njia zangu, kutenda mema machoni pangu, kuzishika sheria zangu na hukumu zangu, kama Daudi baba yake.
 
We baki na Mungu wako huko,mbona ye Zumaridi hawaingillii!?

We pambana na Mungu acha nao wenzako wamwabudu Zumaridi,uhuruu wa kuanudu uheshimiwe pande zote
 
Kwan hamna umoja wa wakristo wamshtaki kwa anachokifanya huyu mama jaman huku ni kumdhihaki Mungu kabisaa jamani.!!!?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…