Adha kubwa tuipatayo abiria tunaosafiri na mabasi ya mikoani

Mkuu unatakiwa kujua kitu kimoja, staff wa bus wanaposimama sehemu kula ni kwamba hua wanakula bure na wanapewa posho kwakua wamepeleka wateja, so ukiona sehemu wanapenda sana kuwapeleka Abiria ujue wanamaslahi napo.
Nimekupata mkuu wangu
 
Hivi Mkuu Dar Songea via masasi nauli bei gani?
 
Tatizo serikali ya ccm
 
Nikisafiri Dar to Moshi au Moshi to Dar huwa natamani muda wa kuingia hoteli ufike[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani kila nikiwaza rock hill moyo wangu unajawa na furaha balaa[emoji23] nyama jamani nyamaaaa. Nyamaaa. Halaf ukiwahi napema zinakuaga tamu balaa. Watu wakishajaa waii.
 
Wamiliki wa mabasi wanajenga hotel zao Korogwe hivi sasa ile hoteli ya bei nafuu Mombo "Liverpool" kwishney
Transit ndo imekufa kabisaa. Ila alishajizolea za kutosha. Waarabu wa liver daah, wanapata wa lushoto tu sasa naona
 
Siku ingine beba chakula chako tokea nyumbani kuepuka hio adha, we beba kama ni kiporo chako cha maharagwe/dengu/kunde/vitumbua/mihogo.

Sio kila kitu kuchochea serikali iingilie kati.
Unachokisema hakiwezi kutekelezeka muda wote na kwa watu wote.
Kuna watu wanaishi wenyewe hata kupika chai hawajui
 
Yani we chalii unavyoandika nikicheki na avatar yako nakua naona kama braza K anaongea
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani kila nikiwaza rock hill moyo wangu unajawa na furaha balaa[emoji23] nyama jamani nyamaaaa. Nyamaaa. Halaf ukiwahi napema zinakuaga tamu balaa. Watu wakishajaa waii.
Tena hapo Rock Hill huwa wananikosha Sana hasa gari likiwahi mida ya saa tano hivi, pia Kilimanjaro hotel nao wapo vizuri.... Mimi huwa naweka kabisa bajeti ya kula hapo maana ndio starehe yangu kubwa kwenye safari na furaha inazidi nikiwa nimepata siti ya dirishani😁
 
Bimkubwa wako alikuwa vizuri
 
Nafikiri komenti yako inatosha kufunga huu uzi nakuunga mkono na miguu asilimia [emoji817] wamama wa zamani walikuwa wamama bora sanaa mimama ya siku hizi kutwa kushinda instagram kutafuta umbea na udaku na kuangalia vipodozi vya kujikoboa usoni. Nakumbuka nikiwa mdogo wakati wa kusafiri bi mkubwa alikuwa akipika vyakula kwa iyo tulikuwa hatupati shida kwenye suala la misosi, kwa Iyo mleta mada najua una nia njema na watanzania ila mimi nashaur kama mtu unataka kusafiri ni vyema ukaanda chakula chako mwenyewe home kuliko kuwaambia madereva wasiende kwenye maoteli yenye hadhi ni ngumu sana. neno langu la mwisho kama yote yatakushinda kununua misosi kwenye miotel ya garama au kujipikia mwenyewe basi ufunge tu kwa mda hata kesho yake utakula kwan kula lazima[emoji39][emoji39]
 
Tabia ya kulisha watu njiani sio nzuri utakuja kuingia sehemu ujute
 
Ha ha ha kiukweli mimi Rock hill ndo kila kitu. Dar ex press hata sihangaiki nayo kwanza afanye marekebisho makubwa pale. Kilimanjaro si mzoefu sanaa.

Ila bana kipindi cha misiba[emoji23][emoji23] unajua kuna mida mpaka unaweza hata ukakufuru pale rock hill. Maana munatoa oda kbs. Yaan mkifika hapo hiyo kula na kunywa utafikiri hakuna marehemu mumemuacha kule parking. Yaani zile nyana na kampani ya kutosha[emoji23] mpaka nasemaga Mungu tusamehe tu. Hata mimi watanilia nyama na bia hapa hapa siku yangu ikifika. Yaani Mungu ambariki sana huyu jamaa kwa kuzinguana na mremi mpaka kuja kuwekeza pale[emoji119][emoji119] ngoja nipange safari kwanza nimeshazimiss
 
Mleta mada, kama sikosei hata scandinavia enzi zao watu walikua wanafungua mahotpot kabisa kwenye basi wanakula. Kinakushinda nini mkuu kifanya hivyo? At rimes pia tumekua na utaratibu huo. Mnanunua zenu makuku ya kienyeji, hata nyama tu, kuna soseji, chapati, chips etc. Waweza jibebea vile unavyomudu. Mbona sijawahi ona mtu akimshangaa mtu kwa kufanya hivi? Na nomeona pia watu wakibeba still ila hakuna wa kuwashangaa tena ndo kiko salama zaidi.

Sisi wengine si kwamba tuna hela hapana ila tunaangalia usalama wa afya zetu. Siamini katika basi kama kuna abiria zaid ya wawili watatu ambao walitamani kula popote. Binafsi pia siwezi kula kokote. Naangalia kwanza mazingira. Mambo ya kuhara na dereva ni mwendo wa masaa nani anataka mateso?
 
Comment bora kabisa

Like tu zinajieleza
 
Dah.. Sijui nikwambie nini Mkuu, wazo lako zuri ila halitekelezeki, wenye hela nao wakisema "bus zinasimama kula sehemu local sana tunataka sehemu zenye chakula kisafi kisichodhuru tumbo" ITAKUAJE?

Then next time weka paragraph.
Amekopi kutoka facebook bila kuhariri.
 
Mbona kawaida msibani wanakunywa na kula pia mpaka kut00mbna njiani msiba unaoenda usiku jamani. Watu wanapiga konyagi k vant za kutosha njiani mpaka ashki zinawapanda wanamalizana haja zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…