Imejibiwa.
TANESCO.: HAWAHUSIKI.
 
Acha mahasira na msongo wako wa mawazo hapa,mh Rais na serikali Yake wanapaswa kupongezwa Sana kwa hapa walipotufikisha kimaendeleo mpaka kupigiwa mfano na kila mtu,

Usitake kumpangia mh Rais wa kufanya nae kazi, yeye ndio anafahamu afanye kazi na Nani katika kuwaletea na kuwapatia huduma Bora watanzania katika kila eneo,

Suala la habari au hitilafu ya umeme kwa muda mfupi tu Ni masuala na changamoto ndogo ndogo ambazo zinatokana na masuala ya kutamalaki tu.

Uwe na shukurani na moyo wa kupongeza na kukubali pale kazi nzuri inapofanyika, serikali hii imekuwa ikijitahidi kwa kila namna kupambana na kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazojitokeza mbele yetu Kama Taifa.

Wapo majirani zetu kwa Sasa Ni shida na changamoto kulipa mishahara ya watumishi wake wa umma, vipi ingekuwa ndio Tanzania? Ungesemaje? Ungeandika mangapi? Lakini kwa ushupavu na uimara wa serikali yetu tunaona watumishi wa umma wakipokea mishahara mapema kuliko ilivyo kawaida Hadi wao wenyewe wanamshukuru mh Rais na serikali yake,.

Vichangamoto vidogo vidogo visitufanye tukawa watu wa kuropoka ropoka maneno mabaya kuelekeza kwa serikali yetu
 
Sasa kama chadema wameshindwa kujenga ofisi yao na ruzuku wanapata siku wakipewa nchi si umeme utakatika mwaka mzima
Hayo mambo ni minor issue. Tuwe serious kwenye masuala yakimaendeleo kama taifa, ccm kwaufupi wameshindwa na upinzani hawajielewi
 
Mkuu sio watu wa pwani wote wapo hivyo ni hulka ya mtu tuu.... Na inawezekana hizo hitilafu za taa kupungua nguvu zinatokea sana hata kwenye mechi za ligi kuu bara na michuano ya fa ila nachelea kusema marefa wetu na hata sisi tunaotazama hatunote hiyo kitu! Hawa marefa wa kimataifa wanajua kazi zao haswa mkuu.
 
Magufuli hakupenda ujinga kama huu wa uwanja wa taifa lakini ukali wake ulipitiliza na akashindwa kuweka mipaka ya hukumu alizotoa kwa wakosaji.

Kibaya kingine JPM alikuwa anafurahi anapoona mtu au kundi la watu wanapitia hali ngumu ya kimaisha. Aliyafurahia mateso ya wakosaji wake kama vile sio rais wa nchi, kama sio rais wa wote milioni 60. JPM alipenda kuona sadism na urais wake ulifurahisha wengi lakini ulimuuza wachache.
 
Aisee
 
Mimi nalitizama tofauti Huyo Waziri Muhusika ndio apewe lawama ama ajiwajibishe mwenyewe saa ingine unaongea kwasababu uko nje ukiingia ndani unaufyata mkia...let's not blame her over evereeethng na japo Mama asitumie tena kauli ya hili nalo mkalitizame inakuwa inasound kama nyama choma bila chumvi na pilipili.....
 
Naona wabongo ni full kulalamika
[emoji1]

Ova
 
Serikali tukufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…