NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
Wahusika wawajibishe haraka iwezekanavyo.Siyo uzembe ni upumbavu. Haiwezekani ishu kama hii ijirudie tena.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahusika wawajibishe haraka iwezekanavyo.Siyo uzembe ni upumbavu. Haiwezekani ishu kama hii ijirudie tena.
January anahusika na Nini kuhusu taa kuzima uwanjani,umeme upo ila taa ndo zimezima,Meneja wa Uwanja ndo awajibikeHalafu Samia afike sehemu aache kukenulia watu meno tu waking January wanatakiwa kufukuzwa kazi Hawa!!!
Upo sahihi mkuu.January anahusika na Nini kuhusu taa kuzima uwanjani,umeme upo ila taa ndo zimezima,Meneja wa Uwanja ndo awajibike
Ahujumiwe ili iwe nini mkuu?Mameneja wa mikoa na watendaji Wana muhujumu waziri, safisha hawa virusi wanao hujumu jitihada za Serikali, wapo kila Mkoa sio dar tu
Aibu naona MimiTanzania,i love you my country.
Hii hata afcon ilitokea hiviSimba wana roho mbaya sana
Wapo lakini sio katika wale tunaowataka sisi kwenye jahazi letu 😅 !Wizara hii inahitaji watu, watu kweli
Unawashwa lokundu.Simba wana roho mbaya sana
Labda Afcon ya beach soccer !!Na bado tunataka Ku-Host AFCON ?
Kwa huu uzembe na upuuzi si tunaweza kusababisa Maafa...