Aibu kubwa kwa Taifa taa za uwanja wa Benjamini Mkapa kuzimika mechi ikiwa inaendelea
Waziri unamuonea tu. Siku ya tatu tangu ateuliwe kulikuwa na mechi baina ya Tanzania na Uganda umeme ukazima.

Aliyefeli ni mama Samia na serikali yake nzima. Ulitaka waziri ndiyo akarekebishe taa na familia yake??
Kazi yake nini hasa Kama waziri wa Nishati hausiki na upatikanaji wa Nishati ?

Kwahio wewe sababu babu yako wakati anamiliki shamba mlikuwa mnalala njaa ni sawa leo hii wewe mjukuu unayemiliki hilo shamba ulalae njaa ?

Kama Waziri hausiki kwa lolote tuna sababu gani ya kuwa na Waziri ? Si tuondoe hii nafasi chenji inayobaki ipelekwe kupunguza bei ya mafuta ya taa tununue vibatari ?
 
Kwa hili hata waandaji wa video show mitaani urahumiwa sana na watazamaji na ni aibu sana kwa muandaaji. Ivyo ni aibu kwa nchi ya Tanzania, meneja wa kiwanja. Inatakiwa waadhibiwe wanao sababisha usumbufu huu hasa waziri anayehusika, meneja wa uwanja na watu wa nishati kama ili linawahusu
Watu wa nishati hawa husiki kwa lolote mkuu kwa sababu tatizo sio umeme bali tatizo liko kwenye taa anaye takiwa kuwajibika ni meneja wa uwanja.
 
Generator linahitaji winchi kubwa Sana ili kulinyanyua kwa ajili ya kulisafiriaha. Hivyo serikali imemlipa mkandarasi wa kutengeneza winchi mpk mwaka 2035 kitakuwa limekamilika
Umeona namna serikali yako unayoitetea ilivyooza?
 
Kuna Mafundi mitambi wa TANESCO kazi Yao ni kuchezea mitambo na kufanya umeme uwe mdogo....
 
Hili Taifa lilipofikia ni kuleana tu!

Nchi inayoomba kuandaa mashindano ya CAF bado inaushamba unaojirudia rudia kuzimika taa kwenye uwanja wake mama?!

Ndani ya mwezi mmoja taa za uwanja wa Taifa zimelitia doa Taifa.

Mijinga mimtu inayoongoza sekta husika imekalia kuiba pesa za Watanzania tu!
Mama anaupiga mwingi
 
Ivi TFF KAZI YAO NINI MBONA HII NI AIBU awali ilitokea wakati wa moja Kati ya MECHI ya TAIFA STARS Sasa PESA wanazo kata kwenye viingilio wanapeleka wapi.?
Hizo pesa anazo toa mama za kila goli wakarebishe uwanja hiii ni AIBU Africa
Nini maoni yako mdau
 

Attachments

  • IMG_1682873687623.jpg
    IMG_1682873687623.jpg
    26.4 KB · Views: 2
  • IMG_1682875152139.jpg
    IMG_1682875152139.jpg
    169.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom