Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa hawa viongozi ndio wanaosafiri mara kwa mara huko nje,sijui huwa hawaoni aibu?
😂😂😂😂😂😂😂😂Kuna Mafundi mitambi wa TANESCO kazi Yao ni kuchezea mitambo na kufanya umeme uwe mdogo....
Nakuahidi kuanzia leo siitetei tena!Umeona namna serikali yako unayoitetea ilivyooza?
We tetea jipu tu ilo !!! January ni bonge moja la waziri mpuuzi Sana kwenye utawala wa simiaTatizo halipo kwa makamba bali lipo kwa meneja wa uwanja.
Meneja wa uwanja ndo wanatakiwa kuhakikisha uwanja uko tiyari katika hali yeyote.
Viraranga vya kuku Kila siku kunyonya kesho.Umeme mdogo alaf waliahidi kufikia 2021 kutakua na umeme mwingi hadi wa kuwauzia kenya
Hizi zote ni jitihada za serikali ya awamu ya sita katika kutoa furaha kwa watanzania #HakikaUnapigwaMwingiTangu umeme ulipokatika pale Ukumbi wa Kuringe Rais Samia akiwa anahutubia nilijua hii Tanesco ni majanga sana
Doh! 😆Hizi zote ni jitihada za serikali ya awamu ya sita katika kutoa furaha kwa watanzania #HakikaUnapigwaMwingi