Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kwa jinsi wanavyojaribu kuonesha interest na football ni aibu mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fact mkuuHalafu tumeomba kuandaa Afcon tukishirikiana na nchi jirani! Kww namna hii hatupaswi kupewa hiyo nafasi. Labda miaka mia ijayo, tufe wote na itikadi zetu za kujuana, wazaliwe wenye kutumia akili ipasavyo.
Issue siyo upungufu wa nishati. Ni technical faults za mfumo wa umeme uwanjani.Kazi yake nini hasa Kama waziri wa Nishati hausiki na upatikanaji wa Nishati ?
Jiulize swali hizi fedha anazotoa hangaya anatoa kwenye mfumo gani,hao wote maccm hakuna atakaye wajibikaIvi TFF KAZI UAO NINI MBONA HII NI AIBU awali ilitokea wakati wa moja Kati ya MECHI ya Simba Sasa PESA wanazo kata kwenye viingilio wanapeleka wapi.?
Hizo pesa anazo toa mama za kila goli wakarebishe uwanja hiii ni AIBU Africa
Nini maoni yako mdau
Watu wa nishati hawa husiki kwa lolote mkuu kwa sababu tatizo sio umeme bali tatizo liko kwenye taa anaye takiwa kuwajibika ni meneja wa uwanja.
😂😂😂😂😂Tanzania ka nchi sehemu ambayo tuko vizuri ni kugegedana tu basi
[emoji23][emoji23] nacheka Kama mazuri yaaani.Kuandaa afcon ya ny.oko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndoto za abunuwasi hizo[emoji1787]Tanzagiza hoyee
R.i.p magu
Hakika inakera !! Inaudhi! Inaaibisha.
Noma sana aiseeHizi zote ni jitihada za serikali ya awamu ya sita katika kutoa furaha kwa watanzania #HakikaUnapigwaMwingi
Au sabotage ?!Issue siyo upungufu wa nishati. Ni technical faults za mfumo wa umeme uwanjani.