KHM 1995
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 461
- 729
We utaishi mileleMungu aliingilia kati akamlambisha mchanga, ndio ponapona ya hiyo mitambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We utaishi mileleMungu aliingilia kati akamlambisha mchanga, ndio ponapona ya hiyo mitambo
Milele iko wapi?We utaishi milele
We ni immortalMilele iko wapi?
Kalemani njaa ishaanza kuuma etiii... Alishazoea akifika Kila Mkoa matajiri wanampa Hela, Sasa hivi anapiga simu hazipokelewi.We ni immortal
Hamna kazi aliyofanya. Hao walikuwa wapiga matarumbeta wa Jiwe. Walikuwa tayari mitambo ya tanesco iungue lakini wasizime umeme kwa ajili ya ukarabati
Sijui kama jinsia yako ni me au ke.Kigogo mmoja amemuomba msamaha Waziiri wa zamani wa Nishati mh Kalemani na kusema Wakati Ule anamshambulia hakujua kuwa alikuwa anafanya Kazi kubwa sana
Kigogo huyo kupitia ukurasa wake wa twitter amesema anaomba radhi sana kwa mbunge huyo wa Chato na kwa Mungu wa mbinguni
Nawatakia Mei dei yenye Furaha!
Kumbe hakuiba ndo maana ana kigari chake.Kalemani njaa ishaanza kuuma etiii... Alishazoea akifika Kila Mkoa matajiri wanampa Hela, Sasa hivi anapiga simu hazipokelewi.
Ameshazoea kujiendesha kwenye kigari chake?
Jibu we ni immortalKalemani njaa ishaanza kuuma etiii... Alishazoea akifika Kila Mkoa matajiri wanampa Hela, Sasa hivi anapiga simu hazipokelewi.
Ameshazoea kujiendesha kwenye kigari chake?
Hizi ni mada za Wahenga wenye upeo wa Juu akina Pohamba, Mrangi ova, Daudi Mchambuzi nk siyo nyie Chekechea wa kulishwa kwa kijiko!Sijui kama jinsia yako ni me au ke.
Unapoleta hoja jukwaani tena jukwaa la siasa bila auntentication ni kugeuza jukwaa kama.kambi ya umbea.
Weka source hata kwa screenshot au la punguza umbea
Ni mada za kibaguzi siyo?Hizi ni mada za Wahenga wenye upeo wa Juu akina Pohamba, Mrangi ova, Daudi Mchambuzi nk siyo nyie Chekechea wa kulishwa kwa kijiko!
Samahani lakini
Kama huwezi kufungua code unatulizana tu BwasheeNi mada za kibaguzi siyo?
JF siku hizi kuna madaraja ya members au wewe ndo unaanza kuyajenga?
Ukarabati upe na wewe mwizi mkubwa wewe. Umekremisha kuwa umeme lazima uzimwe hata kama hakuna haja. Ukarabati gani kila siku pumbafu.Hamna kazi aliyofanya. Hao walikuwa wapiga matarumbeta wa Jiwe. Walikuwa tayari mitambo ya tanesco iungue lakini wasizime umeme kwa ajili ya ukarabati
Kibaka kaitwa na mwenye enziUkarabati upe na wewe mwizi mkubwa wewe. Umekremisha kuwa umeme lazima uzimwe hata kama hakuna haja. Ukarabati gani kila siku pumbafu.
sikujua km nawe ni mpumbavu kiasi hicho.Kigogo mmoja amemuomba msamaha Waziiri wa zamani wa Nishati mh Kalemani na kusema Wakati Ule anamshambulia hakujua kuwa alikuwa anafanya Kazi kubwa sana
Kigogo huyo kupitia ukurasa wake wa twitter amesema anaomba radhi sana kwa mbunge huyo wa Chato na kwa Mungu wa mbinguni
Nawatakia Mei dei yenye Furaha!
Kwa sababu wewe ni mpumbavu zaidi 🤣🤣sikujua km nawe ni mpumbavu kiasi hicho.
Hapo hakuna codes zozote. Unatoa ripoti ya post ya platform nyingine bila proof.Kama huwezi kufungua code unatulizana tu Bwashee
Very simple!
Ni mbea mbea sana.sikujua km nawe ni mpumbavu kiasi hicho.
Siwezi kurekebisha hadi Uje kwa Jina HalisiHapo hakuna codes zozote. Unatoa ripoti ya post ya platform nyingine bila proof.
Usikimbilie kujificha kwenye GT room wakati umeshatopola.
Rekebisha uzi wako utendee haki maana hili siyo jukwaa la umbea