Hawa watu sio wa kuchekea kabisa wanaweza kutoa uhai wa mtu kisa Techno kitochi
 
Tanzania nakulilia 😭😭😭😭
 
Acheni ushabiki maandazi huyu hakua mwizi tu alikua muuaji... Akikuomba hela usipompa anakutia visu vya tumbo anasepaa... Jela kashapelekwa anatoka anaendelea na ujinga huo huo... Mlitaka wananchi wafanyaje sasa.....??
 
Huyu hakuwa sawa, kuna mahali ALIONEWA. Tena ALIONEWA SANA, ndio maana akageuka kuwa KATILI SANA.

Watu wanaweza kumbadilisha MALAIKA kuwa IBILISI.

Drink your own POISON, tena angewapiga mabisu ya kutosha, HAMJITAMBUI.

Hajabadilishwa Wala Nini. Tusipende kutetea ukatili. Naona polisi walijisahau ikabidi wananchi wawasaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…