Ally Dangote auawa jijini Arusha
Ni kweli mob justice ni mbaya. Lakini ukiona katajwa hilo jina inaonekana ni mtu maarufu kwa shughuli hiyo na anafahamika kwa hilo.

Shida kubwa ni polisi huwa wanawaachia wakishahonga.
Siyo wananchi "wenye hasira kali" walijichukulia sheria mkononi na kumuua, taarifa hapo juu inasema ni askari polisi ndio waliomuua kwa risasi baada ya kuruka kutoka kwenye gari lao akijaribu kuwatoroka.
Hata hivyo, kwa habari za kijana huyu, namna alivyokuwa akitekeleza uharifu, alipaswa kutouawa mapema hivyo, mharifu wa hivyo anatakiwa kushikwa na kumtunza kwa ajili ya jeshi la polisi kupata uzoefu wa uharifu kupitia kumhoji. Watu wa aina ya Ally huwa na mengi yaliyojeruhi mioyo yao, wanakata tamaa na matokeo yake wanaichukia dunia na watu. Nobody is born a criminal, but, the society makes him/her so.
 
You are not serious. Leo enyewe tu karokea polisi baada ya kukamatwa majuzi. Huoni hapo Na mwenzake wapo kwenye pingu? Baada ya kutoka, wananchi wakaona wamalize.kesi wenyewe.
Amejetuhi na kuuwa wengi hapa mjini, pora toyo za watu sana huku akijeruhi. Hastahili kuonewa huruma hata kidogo. Wananchi wameamua kupeleka ujumbe kwa genge lake.
Siyo kweli hakuachiwa Huyo kafia kwenye mikono ya polisi hajauliwa na wananchi
 
Jinga Sana ww , Kwa hiyo mtu akizurumiwa ndio akikutana na mtu yeyote anaua tu , Kwa nini asiende Kwa aliye mzurumu
Haya muige na wewe watu wakufanyie umafia ,
Pumbaf zako
Tuliza kinyeo hicho nisije kukuchimba.

Kwanza hata kusoma hujui wewe, achilia mbali kuelewa kilichoandikwa.

Dawa yako ni kuchimbwa tu na hogo.
 
Jinga Sana ww , Kwa hiyo mtu akizurumiwa ndio akikutana na mtu yeyote anaua tu , Kwa nini asiende Kwa aliye mzurumu
Haya muige na wewe watu wakufanyie umafia ,
Pumbaf zako


Hujamuelewa.

Kwa kifupi tu ni kwamba hao wananchi wame deal na matokeo badala ya chanzo kwahiyo uwezekano wa kuibuka “Ally Dangote” mwingine ni mkubwa kwa asilimia kubwa.


Halafu acha kutukana watu hovyo, huo sio ustaarabu.
 
Jamii hisiyotaka kuwajibika kwa matendo yake yenyewe huzalisha akina Ally Dangote wengi tu.


Jamii inayoshindwa kumdhibiti kijana wa kiume wa umri wa miaka 19 tu ni jamii iliyoshindwa kwa maana katika uso wa ulimwengu huyo bado ni mtoto.


Mtoto alieua watu 9 na mara zote akafanikiwa huku akijeruhi wengine.

Mtoto mmoja alieishinda jamii ya maelfu ya watu wazima wa kila kariba mpaka jeshi la polisi.


.
 
Katika kipindi cha Mwezi mzima Kijana Ally Dangote amekuwa akitafutwa kwa kutekeleza mauaji ya watu mbalimbali katika maeneo ya Longdong, Ungalimited na Sinoni

Kijana huyu alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi, majira ya Leo mchana wananchi wenye hasira kali wamemtia nguvuni na kumpokonya uhai.
---
Mamia ya wakazi wa Jiji la Arusha leo wamejitokeza kushuhudia mwili wa kijana anayetambuliwa kwa jina la Ally Dangote (19) aliyeuawa kwa kupigwa risasi na polisi, akidaiwa kutoroka baada ya kukamatwa.

Dangote kabla ya kutajwa kuhusika na matukio ya mauaji alikuwa rumande Magereza kwa muda mrefu kwa tuhuma za mauaji na hatimaye mwaka huu aliachiwa huru na Mahakama kutokana na kukosekana ushahidi lakini alikamatwa tena baada ya tuhuma za uhalifu mwingine.

Akizungumzia kifo hicho leo Jumatatu Novemba 20, 2023 Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Salvas Makweli amesema Dangote ameuawa baada ya kupata jeraha la risasi wakati akiwatoroka polisi.

"Ni kweli huyu mtuhumiwa alikuwa anasakwa kwa muda mrefu kwa tuhuma za wizi na mauaji na leo baada ya kuwekewa mitego tulimkamata na wakati anakwenda kuwaonesha wenzake aliruka kwenye gari na ndipo alipigwa risasi na kutokana na kuvuja damu nyingi alifariki akiwa hospitali," amesema.

(Imeandikwa na Mussa Juma)

Pia soma > Kibaka maarufu, Ally Dangote atiwa mbaroni Arusha

View attachment 2820024
Ally Dangote(Kulia)​
huko anakokwenda hakunaga kupumzika
mambo mpelampela non stop
 
Kwa nini alikuwa akiua watu kama unavyadai ? Sababu ya huyu mtu kutekeleza mauaji ya watu hasa ilikuwa nini?
Mengi yamesemwa, ila lililokolea zaidi ni kwamba Ally akifungwa jela kwa kusingiziwa...kitendo kilichomfanya kuapa kuwa atakapotoka atawaua wote waliomzushia uongo na kupelekea kufungwa

Alikuwa akishitakiwa kwa makosa ya wizi

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Kuua sio njia sahihi

Maana kijana wa 19yrs bado Mdogo angejengewa misingi mipya ya kuitafuta Kesho yake iliyo Bora.


Hakuna Binadamu huwa anazaliwa ili aje awe Jambazi au muuaji isipokuwa hizi huwa ni hali zimavaa Mtu na kuharibu future yake huku yeye akiwa hana tena maamuzi na destiny yake .
 
Kuna kesi kadhaa Kama huyu dogo.
Wanafanya Kama ulivyo pendekeza. Siku au miezi kadhaa anaachiwa huru au anatoka.
Alirudi mitaani anakuwa watu kadhaa.
Bora wamalizane nao Kama hivyo kabla hawapoteza uhai wa watu wengine wema.
Mmoja afe wengi wasalimike sababu ya kufa kwake.
Nipo serious mkuu,ukute alifananishwa au labda niyeye,ndomaana nikasema,ni vema angetiwa nguvuni,halafu afikishwe mbele ya vyombo vya sheria,haki itendeke.Hiyo mob justice,ingekua vema ikaelekezwa kwa wezi wa mali za umma,ambao wanajulikana na karibia kila mtanzania,ila sheria hazichukui mkondo wake,jamii ingeheshimika,kuliko kumuua mtu,tena yawezekana hakupewa hata nafasi ya kusikilizwa,lakini ndo hivyo.Kuna habari za watu wengi tu kuuawa,kwa kuitiwa mwizi,huku si kweli,na watu kuua bila kumhoji wala kumsikiliza,siyo fair kabisa.Anyway ndiyo umma wetu huu.
 
Katika kipindi cha Mwezi mzima Kijana Ally Dangote amekuwa akitafutwa kwa kutekeleza mauaji ya watu mbalimbali katika maeneo ya Longdong, Ungalimited na Sinoni

Kijana huyu alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi, majira ya Leo mchana wananchi wenye hasira kali wamemtia nguvuni na kumpokonya uhai.
---
Mamia ya wakazi wa Jiji la Arusha leo wamejitokeza kushuhudia mwili wa kijana anayetambuliwa kwa jina la Ally Dangote (19) aliyeuawa kwa kupigwa risasi na polisi, akidaiwa kutoroka baada ya kukamatwa.

Dangote kabla ya kutajwa kuhusika na matukio ya mauaji alikuwa rumande Magereza kwa muda mrefu kwa tuhuma za mauaji na hatimaye mwaka huu aliachiwa huru na Mahakama kutokana na kukosekana ushahidi lakini alikamatwa tena baada ya tuhuma za uhalifu mwingine.

Akizungumzia kifo hicho leo Jumatatu Novemba 20, 2023 Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Salvas Makweli amesema Dangote ameuawa baada ya kupata jeraha la risasi wakati akiwatoroka polisi.

"Ni kweli huyu mtuhumiwa alikuwa anasakwa kwa muda mrefu kwa tuhuma za wizi na mauaji na leo baada ya kuwekewa mitego tulimkamata na wakati anakwenda kuwaonesha wenzake aliruka kwenye gari na ndipo alipigwa risasi na kutokana na kuvuja damu nyingi alifariki akiwa hospitali," amesema.

(Imeandikwa na Mussa Juma)

Pia soma > Kibaka maarufu, Ally Dangote atiwa mbaroni Arusha

View attachment 2820024
Ally Dangote(Kulia)​
Uyu miaka 19 tusiseme kasumbua arusha, na kisu tu?
Uyu ilikuwa ni wa kuchuna ngozi ya mbupu kwa wembe butu aeleze A to Z.. kaondoka na utamu wote, frankly tulimuhiitaji hai sana mikononi kuliko kupoteza risasi kwa hii mburasa,Arusha tumefeli wapi?
 
Hujamuelewa.

Kwa kifupi tu ni kwamba hao wananchi wame deal na matokeo badala ya chanzo kwahiyo uwezekano wa kuibuka “Ally Dangote” mwingine ni mkubwa kwa asilimia kubwa.


Halafu acha kutukana watu hovyo, huo sio ustaarabu.
Asante sana kwa kunielewa.

Kuna watu wachache sana kama wewe wenye uwezo wa kusoma katikati ya mistari na kung'amua maudhui ya kilichoandikwa.

Humu mitandaoni siku hizi pamejaa mavilaza tu.
 
Jamii hisiyotaka kuwajibika kwa matendo yake yenyewe huzalisha akina Ally Dangote wengi tu.


Jamii inayoshindwa kumdhibiti kijana wa kiume wa umri wa miaka 19 tu ni jamii iliyoshindwa kwa maana katika uso wa ulimwengu huyo bado ni mtoto.


Mtoto alieua watu 9 na mara zote akafanikiwa huku akijeruhi wengine.

Mtoto mmoja alieishinda jamii ya maelfu ya watu wazima wa kila kariba mpaka jeshi la polisi.


.
Hiyo jamii ndiyo chanzo cha kuibuka kwa ALLY DANGOTE.

Jamii ya watu wanaohusudu uonevu kwa watoto, ukatili, uchawi, wizi, umasikini, dhuluma, unyanyasaji wa kingono, lazima itazalisha tu SERIAL KILLERS.

Ukilikoroga lazima ulinywe. Ukilitengeneza JINI lazima likupasue msamba.
 
Uyu miaka 19 tusiseme kasumbua arusha, na kisu tu?
Uyu ilikuwa ni wa kuchuna ngozi ya mbupu kwa wembe butu aeleze A to Z.. kaondoka na utamu wote, frankly tulimuhiitaji hai sana mikononi kuliko kupoteza risasi kwa hii mburasa,Arusha tumefeli wapi?
Thubutuu!

Mbona wakati akiwa hai mlikuwa mnajificha uvunguni kama vitoto vya kuku!

Mwamba akisugua jambia lake kwenye jiwe wote mnatimka nduki mnaenda kujibanza kwenye sketi za dada zenu! Chezea Ali Dangote wewe!

Amekufa ndio unajifanya kubweka kama MANUNU! THUBUTU YAKO!
 
Back
Top Bottom