SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ujue unamtukana Rais kuwa anagawa hela zetu kiholela shauri yako uchawa utakuingiza matatizoniNinyi fanyweni mazuzu tu....mwenzenu kakunja "bilioni 2" mfukoni mwake [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Alafu ni mtu mzima na wajukuuFisiemu ni chama chenye utamaduni wa ajabu sana. Haya mambo ya kujikomba komba yataisha lini!!??
Katiba mpya muhimu
Ukiangalia kwa jicho la tatu, haya ni maneno ya Samia anamwambia Mbowe kupitia kinywa cha Makala.Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye?
Wananchi gani anaosema wanampwnda Samia.Makala ameyasema hayo Mwanza ambako Rais Samia anashiriki Tamamasha la Bulabo kuwa, Mbowe alifanya siri kusema kuwa wameanza kupokea ruzuku wakati Rais Samia amepeleka Mkataba bungeni wazi kabisa kwa wabunge kujadili na kupitisha.
Makalla akaendelea kuwa wengine hata haya mambo madogo wanafanya siri, kama wakipewa nchi si hatari? Na kwamba Rais anatakiwa kutembea kifua mbele kwani wananchi wana imani sana na yeye.
Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
Mkuu.wa mkoa sio mwanasiasa ni kiongozi wa serikaliKatika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
Dar palikushinda sasa Ukitaka mwanza pakushinde jadili issue ya kuuzwa bandari zote baraMkuu.wa mkoa sio mwanasiasa ni kiongozi wa serikali
...
Tanzania hatutaendelea kamwe kama tutaendelea kuongozwa na wajingaKatika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema...
anauza nchi kivip we falaWatu kama Makalla ni wapumbavu ambao huishia kutumika tu.
Mtu anauza nchi wewe unalinganisha ma mambo ya ajabu ajabu, pumbavu kabisa.
Kwa hiyo Samia anawambia Watanzania kuwa anagawa hela yao kiholela bila kufuata taratibu. Haya endeleeni kumpaka kinyesi huyo Hangaya wenu.Ukiangalia kwa jicho la tatu, haya ni maneno ya Samia anamwambia Mbowe kupitia kinywa cha Makala.
Hii ni kauli ya kimkakati, haikutoka bahati mbaya....Makala ni punda mbeba mzigo.
we mjinga au. pachungu ulimteua wewe au babaakoMakalla kulinda heshima yako, umri wako na elimu yako, suala kuuzwa kwa Bandari muachie aliyesaini mikataba.
Ukiligusa mwanza utapaona pachungu brother
SASA MAKALA NAYE NI MTU, SI KIAZI TU KIPO KIPO TUKatika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman)...
Ukiangalia lile bichwa na mashavu yale kama paka wa hotelini akili atazipata wapi?Kama kweli kayasema hayo hana akili