Ndiyo huyu huyu alituambia mabadiliki ya Hali ya hewa sio sera ya CCM ni mpango wa MUNGU mabwabwa kukosa maji na CCM haihusiki,tulishangaa!!
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu, haya ni maneno ya Samia anamwambia Mbowe kupitia kinywa cha Makala.

Hii ni kauli ya kimkakati, haikutoka bahati mbaya....Makala ni punda mbeba mzigo.
 
Wananchi gani anaosema wanampwnda Samia.
 
 
Mkuu.wa mkoa sio mwanasiasa ni kiongozi wa serikali

Alitakiwa kumpa Raisi ripoti za utendaji kazi mkoani mwake, maendeleo yaliyofanyika changamoto za mkoa zinazohitaji ufumbuzi wa Raisi


Sio hizo porojo zake za akina Mbowe hizo aachie viongozi wa CCM na jumuiya zake Mwanza na wilaya zake
 
Makalla kulinda heshima yako, umri wako na elimu yako, suala kuuzwa kwa Bandari muachie aliyesaini mikataba.

Ukiligusa mwanza utapaona pachungu brother
 
Kweli linapofikia suala la Wizi wa mali za Umma, Makada wote wa Chama Tawala huwa wamoja.

Walianzia Bungeni na sasa wateule wa Rais.

Watanzania kuna haja tukaungana kukemea huu Wizi wa hawa Mabwenyenye wanaoshinda Kutwa kula na Kuvaa kwa Kodi zetu.

Walianzia kwenye Ngorongoro, Gesi ya Mtwara, Viwanda vyote kama Urafiki n.k na Sasa wamehamia Kwenye Bandari

Tukiendelea kukaa kimya hawa Watu watakuja kutuuza Watanzania wote
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu, haya ni maneno ya Samia anamwambia Mbowe kupitia kinywa cha Makala.

Hii ni kauli ya kimkakati, haikutoka bahati mbaya....Makala ni punda mbeba mzigo.
Kwa hiyo Samia anawambia Watanzania kuwa anagawa hela yao kiholela bila kufuata taratibu. Haya endeleeni kumpaka kinyesi huyo Hangaya wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…