Hawa wamesahau kuna miradi iliachwa tena kwa kejeli,bomba la gas mtwara,bandari bagamoyo,yaani full ubabe ilikuwa,zamu Yao sasa kulialia..Huyo ndiye raisi wa nchi hiyo cheap popularity inaingiaje?
Mkitaka msitake yeye ndiyo kiongozi mkuu wa nchi na ndiye aliyeachiwa hatamu ya uongozi, mbona aliyepita kuna miradi aliiwacha hivyo hivyo? Tuwe na subira, kwani yeye hajatoka upinzani ni kiongozi wa CCM ileile na ilani ileile kinachotofautiana ni utendaji tu. Ukizingua unazinguliwa.
Jibu swali.Kwahiyo unataka Mama Samia asifuate ilani ya CCM? Basi mwambie afuate ilani ya CDM!!
Mimi kwa kweli nimeshakata tamaa..
Hawakujua hats ule umati kumuaga Kuna watu walijawa na furaha kupinfukia ...usicheze na bins adamuMarehemu POMBE amefanya lipi la kukumbukwa? Kwann usijiulize kwann watanzania wamemshahau mapema kiasi hiki?.
Hii nchi imejitemegea lini bila kutegemea nchi wahisani? Wewe ni lofa Tu uliyeishiwa mipango, MUNGU aliyemwondoa magufuli ndiyo anajua na ndiye aliyepanga haya yote
Endelea kuumia mwamba..Anatufaa kwa sababu anaongea maneno matamu matamu aliyoandikiwa ili kufurahisha hadhira?
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Huna lolote, wewe ni shabaki wa udikteta.Wale tuliokua tunawaita nyumbu naona sasa ndo wako na mama. Maneno yao ya kejeli na ushabiki tu. Kinachonisikitisha hakuna chama cha upinzani serious ila kama kitakuja kuwepo ntakupigia kura za hasiraaaa
Mataga Kama humkubaliani na sera za mama hameni nchi
You nailed it down mkuuSasa hivi anaamua ya kwake kwa sababu wakati wa Baba Mama hakusikilizwa ushauri wake kwa hiyo mumuache kabisaa awafanyie kazi watu,,besides sasa hivi watu wanahitaji faraja kwanza kwa maisha walopitia hapo nyuma
Nawasilisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi namshangaa sana Mama.....cheap popularity itammaliza
Sidhani kama kuna chama cha upinzani kinachotaka kura yako, kura yako inastahili kwenda kwa Jiwe ila ndiyo hivyo tena kaishasepa hivyo mpigie kura Gwajiboy.Wale tuliokua tunawaita nyumbu naona sasa ndo wako na mama. Maneno yao ya kejeli na ushabiki tu. Kinachonisikitisha hakuna chama cha upinzani serious ila kama kitakuja kuwepo ntakupigia kura za hasiraaaa
Mbona umeme wa gas na bandari ya Bagamoyo iliachwa, nini Stiegliers bhana, wewe pambana na hali yako tu.Mkuu samahani Naomba Unifafanulie Sikusikiliza Hotuba Yake,
Unaposema Miradi Mingine ipo Kwenye Makaratasi Una maanisha Nini?
Yaani Stiegliers iachwe?
Au Kuna Miradi Mingine inakuja Ipo Ktk Makaratasi Au hii iliopo ipo kwwnye Makaratasi tuu?
Nifafanulie Mkuu Ahsante!
Ndio tunachotaka atekeleze miradi tutampa kura tofauti na hapo tutamfurusha yeye na CCM yake