Kuna mwingine Chalinze miaka 5 iliyopita aliuza nyumba zake 2 kati ya tatu watoto wakampeleka mahakamani. Watoto wenyewe wakubwa 30+ wanalalamika Mzee kauza nyumba zao eti mama aliwaambia Mali ni za watoto.Mzee angeuza nyumba af akahamia kidimbwi.
Hata hivyo hili kabila lina mambo ya ajabu sanaMkazi wa Ngarenaro, Mzee Iddi Maganga amebomoa nyumba zake mbili zenye thamani ya milioni 200 akiwatuhumu watoto wake kumfanyia ndivyo sivyo.
Akiongea kwa uchungu, Mzee Maganga amesema mmoja wa watoto wake alimfungia kwenye chumba chenye giza wiki nzima bila chakula.
Mzee Maganga amebomoa nyumba zake na kuwataka watoto wake wakafanye kazi badala ya kukaa wakimendea urithi.
Ni wazi vijana wamekata tamaa ya maisha.Kuna mwingine Chalinze miaka 5 iliyopita aliuza nyumba zake 2 kati ya tatu watoto wakampeleka mahakamani. Watoto wenyewe wakubwa 30+ wanalalamika Mzee kauza nyumba zao eti mama aliwaambia Mali ni za watoto.
^4Q = mβ’Cβ’βT
Uchungu wa kubomoa nyumba na kuacha kiwanja? Angekuwa na uchungu angeuza au angetoa kwa wasio na makazi apate baraka. Tena angetafuta na waandishi wa habari kabisa akikata utepe. Uwezekano ni mkubwa sana hakujenga hizo nyumba au ana tatizo jingine.Ni rahisi sana kuyaandika haya ila ukiuvaa uhusika wa huyo mzee utaona uchungu alioupata.
baadhi ya mitoto ya chuga + bangi na pombe wengi hawana ubavu wa kupambana kama ilivyokuwa zamani.
Ondoa shaka mkuu umepata pamoja na ya MZEE MAGANGA mwenyeweMkuu hamna kapicha tuone walau kifusi?!!
Kwaio na hili pia umemshauri?Dah......huyu mzee namfahamu Sana.... ni mtu wangu wa karibu..... huwa tunashauriana vitu vingi π€
Waeza kuta amejenga kwa hela yake sema tu hasira zilivomzonga ndo akapata hayo maamuzi ambayo mi nayaona ya kushangaza aisee.Hizo nyumba huenda si zake ni zilijengwa na mama. Hizi ni akili za marioo wakizeeka. Nyumba uliyolipia tofali kwa tofali huwezi bomoa kiwepesi.
Atakuwa na shida ya hasira.Waeza kuta amejenga kwa hela yake sema tu hasira zilivomzonga ndo akapata hayo maamuzi ambayo mi nayaona ya kushangaza aisee.
Wewe ndo huna akili wala hekima utampangiaje mtu mali yake namna ya kutumia.? Dunia nzima mayatima wamejaa unaweza kuwasiaidia hata wewe.Huyu mzee ana roho mbaya sana kisha hana hekima...kuliko kuharibu mali angeandika waraka akifa ziwasaidie wenye mahitaji maalum kama yatima nk
Vijana sahv hawataki kupambanaWewe ndo huna akili wala hekima utampangiaje mtu mali yake namna ya kutumia.? Dunia nzima mayatima wamejaa unaweza kuwasiaidia hata wewe.
Jasho ni Lake amefanya kilichomridhisha moyoni, period
Sasa si angeuza akale bata au?Mkazi wa Ngarenaro, Mzee Iddi Maganga amebomoa nyumba zake mbili zenye thamani ya milioni 200 akiwatuhumu watoto wake kumfanyia ndivyo sivyo.
Akiongea kwa uchungu, Mzee Maganga amesema mmoja wa watoto wake alimfungia kwenye chumba chenye giza wiki nzima bila chakula.
Mzee Maganga amebomoa nyumba zake na kuwataka watoto wake wakafanye kazi badala ya kukaa wakimendea urithi.
N ibora kuuza aisee, lakini sio kubomoa, angeuza tu akale bata, hayo matoto yatamuwahisha mbele, bora auze tu.Auze na viwanja awakomeshe ,watoto wa siku hizi wazinguaji sana. Asipokua makini watamuwahisha mapema futi sita chini
Vipi wewe zako utavunjanau utauza? Au watoto hawakumendei wewe wakuwahishe πMkuu hamna kapicha tuone walau kifusi?!!