Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Tunasikia ni kauli isiyo na uhakika.Mbona tunasikia imeshauzwa nani huyo mwenye hayo mabavu na misuli kama sio yeye??Atusaidie hapo. Na ndege tunasika imekamatwa Dubai au ndio hai wenye misuli na mabavu ya kufanya chochote wanachotaka Tanganyika??
Jitoe kafara kwani unasubiri nini? acha nikwambie hakuna mwenye nguvu ya kuligawa Taifa. Watu wamenyamaza tu, wakiamka mtaelewa kuwa Tembo ni nani?Mkataba kwanza
Nchi iharibiwe ovyo hata kwa kujitoa kafara ikiwezekana
Wafanye makosa halafu waone linavyo pasuka na kugawanyikaHAKUNA anayewapuuza TEC...
HAKUNA anayepuuza madhehebu ya dini......
HAYUKO MWENYE MISULI YA KULIGAWA TAIFA HILI [emoji120]
Hivi hapo kuna tusi gani kama anachosema ni kweli??Mbona upumbavu mwingi Tanzania au Tanganyika??jamii forum sio sehemu ya uongo na umbea kila anaendika hapa ni matumaini yangu anaushahidi wa asemacho na anaweza thibitisha mahakamani nje ya Tanzania[emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tukana uwezavyo na upumbavu wako wa kurithi....
HAKUNA MWENYE MISULI YA KULIGAWA TAIFA HILI [emoji120]
Shoo amesema watakapo Anza kutoa maoni Yao wasianze kusema wanachanganya dini na siasa.Usilembe lugha. Mwambie Rais kuwa hii rangi ni nyeusi na si nyeupe.
Unakuwa umemsaidia zaidi kuliko kumpaka mafuta kwa mgonho wa chupa.
Asifikiri kila siku kutakuwa na wasindikizaji yaan tuwe walamba asali na walamba shubiri kwenye nchi mmoja ,huyo mama alipaswa kujiuzulu badala yake ameingia mkataba ya kirushwa halafu anatusha watuAskofu Shoo ujumbe umemfikia
Asante mtumishi wa Mungu
Eti hakuna mwenye ubavu wa kuligawa Taifa kwani haoni limegawanyika tayari..
Historia itaandikq watoto na wajukuu zenu watasoma huku wakiishi maisha kama digidigi
Mmelikoroga
Usinyooshee kidole wengine hili lako na Mzee wa pwani ile..
Tutaelewana
Mfuate kama una msuli 🤣Bado anashupaza shingo .
Tembo ni Harmonize mkuu kuna tembo mwingine..?Jitoe kafara kwani unasubiri nini? acha nikwambie hakuna mwenye nguvu ya kuligawa Taifa. Watu wamenyamaza tu, wakiamka mtaelewa kuwa Tembo ni nani?
Mnatalazimisha wote tuamini kama nyie?Frederick Shoo anapaswa kumsoma kwa makini mwanamatengenezo Martin Luther, kwa makini Sana
Anapaswa kusoma hoja 95 zilizowekwa na Martin Luther kwenye lango la kanisa jumapili moja juu ya misimamo yake ndani ya kanisa
Halafu baada ya hapo arejee kusikiliza hotuba yake vyema. Kulikana kanisa ni kumkana Yesu Kristu mwenyewe
Mathayo 10:33
Bali mtu ye yote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.
Hakuna udhalimu wenye mwisho mzuri
.
Nakubaliana na ww sio kwa unafiki wa leoShoo kuna kitu atakuwa ameomba serikalini
Ndio sababu nauliza au unataka nikuletee picha?? Waswahili husema lisemwalo lipo kama halipo linakujaTunasikia ni kauli isiyo na uhakika.
Hizo ndoto bora uendelee na shughuli zako ukisema usubiri taifa hili ligawanyike utangoja sana mpuuzi mmoja wewe.Yeye ndio ataligawa taifa hili! Yatunze maneno yangu, Kwa mara ya kwanza katika taifa hili tunaweza kuingia kwenye vita za kidini kwasababu ya uwezo mdogo wa Kiongozi tulienae.
Ndio alikuwa na Jazba si kazoea mipasho kama wazanzibari wenzake, dawa ya TEC ilimuingia.Ameongea kama ndani ana jaziba fulani....huo ujumbe anawalenga TEC .kukaa kimya asijione mjanja sana bali ni kuliangamiza taifa na watu wanakuwa na madukuduku yao moyoni na hayana majibu. .Dunia yote linapotokea Jambo mkuu wa nchi lazima alitolee ufafanuzi na kutuliza wananchi.Mbele sio kuzuri tuendako nidhahiri vita baina ya serikali na wakatoliki ni kubwa huko ndani...na nani ataibuka shujaaa? Yetu macho na time will tell....
Punguzeni porojoKanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa hilo.
View attachment 2724056
VIDEO:
View attachment 2724093